this is what IMMMA Advocates had to say in regards to MwanaHalisi's publications including its article published on Wednesday ,March 5th.This was according to the DAILY NEWS,Monday,March 10,2008;please see attachment of the article unaltered,asante
Jamani mimi nina wasiwasi kidogo hawa IMMMA wanaweza kwenda mahakamani kweli kwa sababu wana resource zote.
Waziri aliyewatetea hata kabla hawajaenda huko mahakamai kwenyewe
Jaji Mkuu
Watoto wa Marais 2
Na Mheshimiwa Muungwana mwenyewe
Ni Bora Mwanahalisi wajiandae kwa hili mapema. Ila tupo pamoja
Wakati Rais akipigia kelele uhuru wa vyombo vya habari na maadili yake yafanye kazi kwa haki na upendo , kuna baadhi ya waandishi na wamiliki wa hivi vyombo vya habari viko mstari wa mbele katika kuhakikisha maadili hayafuatwi na hakuna uhuru wowote ule wanataka waendelee kudangana umma wa watanzania kwa kutumia vyombo hivyo wanavyoandikia au kuvimiliki .
.