MaWakili wanatetea wavuvi haramu toka nje ya nchi, Wakili wanatetea wauaji wa albino, wakili wanatetea raia wa nje waua tembo wetu, wakili wanatetea wala rushwa wakubwa za EPA, NDEGE YA RAIS, BOT na leo nimesoma hii nikahamaki....
"Raia Watatu wa China, Huang Gin, Xu Fujie na Chen Jinzha wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam,washtakiwa hao wanadaiwa kukutwa wakiwa na nyara za serikali aina ya pembe za ndovu, shehena ya Pinde 706, vyenye uzito wa kilo 1880 zikiwa na thamani ya Sh5 bilioni. Washtakiwa hao, kupitia kwa mawakili wao, Edward Chuwa na Richard Rweyongeza waliwasilisha maombi ya dhamana Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakiomba wapewe dhamana, baada ya Mahakama ya Kisutu kuwanyima dhamana kutokana na kutokuwa na uwezo wa kisheria kusikiliza kesi hiyo". source mwananchi ya leo 5/2/2014.
Jamani mawakili wazawa....mnisaidie mimi na watanzania tusiojua
1. Ni kesi zipi msizoruhusiwa kutetea watuhumiwa?
2.Je kama wewe ni wakili na nimekuibia mali yako binafsi unaweza pia kusimama kunitetea? kama jibu ni hapana mbona
Kwa Taifa lako siyo hapana?
3. Je mawakili wanaamini katika Utaifa wa nchi ipi au nyinyi hamna Utaifa nyoyoni mwenu?
4. What are the donts ya mawakili?
5. Profesional ethics zenu ni zipi?
Nitashukuru kwa majibu yatakayokidhi haja, lakini pia yaambatane na ushahidi wa kanuni ama sheria rasmi. kazi kwenu kujitetea mbele ya Watanzania vinginevyo tutaendelea kuwalaumu bila.
Sio watuhumiwa wote wana makosa (hili jibu siitaji kuliona kwenye majibu yenu) ahsanteni!
"Raia Watatu wa China, Huang Gin, Xu Fujie na Chen Jinzha wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam,washtakiwa hao wanadaiwa kukutwa wakiwa na nyara za serikali aina ya pembe za ndovu, shehena ya Pinde 706, vyenye uzito wa kilo 1880 zikiwa na thamani ya Sh5 bilioni. Washtakiwa hao, kupitia kwa mawakili wao, Edward Chuwa na Richard Rweyongeza waliwasilisha maombi ya dhamana Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakiomba wapewe dhamana, baada ya Mahakama ya Kisutu kuwanyima dhamana kutokana na kutokuwa na uwezo wa kisheria kusikiliza kesi hiyo". source mwananchi ya leo 5/2/2014.
Jamani mawakili wazawa....mnisaidie mimi na watanzania tusiojua
1. Ni kesi zipi msizoruhusiwa kutetea watuhumiwa?
2.Je kama wewe ni wakili na nimekuibia mali yako binafsi unaweza pia kusimama kunitetea? kama jibu ni hapana mbona
Kwa Taifa lako siyo hapana?
3. Je mawakili wanaamini katika Utaifa wa nchi ipi au nyinyi hamna Utaifa nyoyoni mwenu?
4. What are the donts ya mawakili?
5. Profesional ethics zenu ni zipi?
Nitashukuru kwa majibu yatakayokidhi haja, lakini pia yaambatane na ushahidi wa kanuni ama sheria rasmi. kazi kwenu kujitetea mbele ya Watanzania vinginevyo tutaendelea kuwalaumu bila.
Sio watuhumiwa wote wana makosa (hili jibu siitaji kuliona kwenye majibu yenu) ahsanteni!