Pre GE2025 Wakili Nkuba linda heshima yako, msapoti wakili Mwabukusi

Pre GE2025 Wakili Nkuba linda heshima yako, msapoti wakili Mwabukusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
10,771
Reaction score
14,129
GTs,

Ni heshima iliyoje kuona haki imetendeka na tena kwa uwazi kabisa kwa kijana Wakili Mwambukusi kuibuka mshindi.

Ni dhahiri Wakili Nkuba hakuwa kabisa na uwezekano wa kushinda. Najua michezo yetu wana CCM ya kupenyezana kila sehemu ila hapa tukubali tumeshindwa na ndiyo maana nakuomba Wakili Nkuba achana na kwenda mahakamani kupinga ushindi halali wa Wakili Mwambukusi.

Kumbuka hao hao Mawakili ndiyo watu wako na ndiyo utakaofanya nao kazi maisha yako yote. Haikusaidii kabisa kupinga kile ambacho Mungu kaamua, na elewa hali ya sasa watu wengi hawaipendi CCM kwa sababu na wizi, rushwa, ufisadi, na uzembe.

Kwa maantiki hiyo hata vyombo vya ulinzi na usalama haviwezi kupinga maamuzi ya wengi na ndiyo maana hata CCM 2025 inaweza kushindwa mchana kweupe akipatikana mgombea mbadala mwenye ushawishi maana wananchi wamechoka mno kusikia kila siku report za CAG na hazifanyiwi kazi.
 
GTs,
Ni heshima iliyoje kuona haki imetendeka na tena kwa uwazi kabisa kwa kijana Adv. Mwambukusi kuibuka mshindi. Ni dhahili Adv. Nkuba hakuwa kabisa na uwezekano wa kushinda. Najua michezo yetu wana CCM ya kupenyezana kila sehemu ila hapa tukubali tumeshindwa na ndiyo maana nakuomba Adv. Nkuba achana na kwenda mahakamani kupinga ushindi halali wa Adv. Mwambukusi. Kumbuka hao hao mawakili ndiyo watu wako na ndiyo utakaofanya nao kazi maisha yako yote. Haikusaidii kabisa kupinga kile ambacho Mungu kaamua, na elewa hali ya sasa watu wengi hawaipendi CCM kwa sababu na wizi, rushwa, ufisadi, na uzembe. Kwa maantiki hiyo hata vyombo vya ulinzi na usalama haviwezi kupinga maamuzi ya wengi na ndiyo maana hata CCM 2025 inaweza kushindwa mchana kweupe akipatikana mgombea mbdala mwenye ushawishi maana wananchi wamechoka mno kusikia kila siku report za CAG na hazifanyiwi kazi.
Umempa ushauri mzuri sana. Akiukubali utakuwa sawa tu. Akiukataa na kuamua kwenda mahakani itakuwa sawa pia sababu ni haki yake. Hata hivyo kumbuka kama kuna sponsor aliyemwezesha kugombea kwa makubaliano kuwa ahakikishe anashinda, basi ni vizuri tu aende mahakama ili amridhishe huyo sponsor kuwa amepambana kweli kweli.
Tumtakie tu kila la kheri.
 
GTs,
Ni heshima iliyoje kuona haki imetendeka na tena kwa uwazi kabisa kwa kijana Adv. Mwambukusi kuibuka mshindi. Ni dhahili Adv. Nkuba hakuwa kabisa na uwezekano wa kushinda. Najua michezo yetu wana CCM ya kupenyezana kila sehemu ila hapa tukubali tumeshindwa na ndiyo maana nakuomba Adv. Nkuba achana na kwenda mahakamani kupinga ushindi halali wa Adv. Mwambukusi. Kumbuka hao hao mawakili ndiyo watu wako na ndiyo utakaofanya nao kazi maisha yako yote. Haikusaidii kabisa kupinga kile ambacho Mungu kaamua, na elewa hali ya sasa watu wengi hawaipendi CCM kwa sababu na wizi, rushwa, ufisadi, na uzembe. Kwa maantiki hiyo hata vyombo vya ulinzi na usalama haviwezi kupinga maamuzi ya wengi na ndiyo maana hata CCM 2025 inaweza kushindwa mchana kweupe akipatikana mgombea mbdala mwenye ushawishi maana wananchi wamechoka mno kusikia kila siku report za CAG na hazifanyiwi kazi.
Umeandika Kila kitu... Kama ni kusikia na asikie
 
GTs,

Ni heshima iliyoje kuona haki imetendeka na tena kwa uwazi kabisa kwa kijana Adv. Mwambukusi kuibuka mshindi.

Ni dhahiri Adv. Nkuba hakuwa kabisa na uwezekano wa kushinda. Najua michezo yetu wana CCM ya kupenyezana kila sehemu ila hapa tukubali tumeshindwa na ndiyo maana nakuomba Adv. Nkuba achana na kwenda mahakamani kupinga ushindi halali wa Adv. Mwambukusi.

Kumbuka hao hao mawakili ndiyo watu wako na ndiyo utakaofanya nao kazi maisha yako yote. Haikusaidii kabisa kupinga kile ambacho Mungu kaamua, na elewa hali ya sasa watu wengi hawaipendi CCM kwa sababu na wizi, rushwa, ufisadi, na uzembe.

Kwa maantiki hiyo hata vyombo vya ulinzi na usalama haviwezi kupinga maamuzi ya wengi na ndiyo maana hata CCM 2025 inaweza kushindwa mchana kweupe akipatikana mgombea mbadala mwenye ushawishi maana wananchi wamechoka mno kusikia kila siku report za CAG na hazifanyiwi kazi.
wananchi tumeamka sasa, tumechoka kuonekana nyani


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
GTs,

Ni heshima iliyoje kuona haki imetendeka na tena kwa uwazi kabisa kwa kijana Adv. Mwambukusi kuibuka mshindi.

Ni dhahiri Adv. Nkuba hakuwa kabisa na uwezekano wa kushinda. Najua michezo yetu wana CCM ya kupenyezana kila sehemu ila hapa tukubali tumeshindwa na ndiyo maana nakuomba Adv. Nkuba achana na kwenda mahakamani kupinga ushindi halali wa Adv. Mwambukusi.

Kumbuka hao hao mawakili ndiyo watu wako na ndiyo utakaofanya nao kazi maisha yako yote. Haikusaidii kabisa kupinga kile ambacho Mungu kaamua, na elewa hali ya sasa watu wengi hawaipendi CCM kwa sababu na wizi, rushwa, ufisadi, na uzembe.

Kwa maantiki hiyo hata vyombo vya ulinzi na usalama haviwezi kupinga maamuzi ya wengi na ndiyo maana hata CCM 2025 inaweza kushindwa mchana kweupe akipatikana mgombea mbadala mwenye ushawishi maana wananchi wamechoka mno kusikia kila siku report za CAG na hazifanyiwi kazi.
Ubarikiwe sn na MUNGU wa mbinguni
 
Umempa ushauri mzuri sana. Akiukubali utakuwa sawa tu. Akiukataa na kuamua kwenda mahakani itakuwa sawa pia sababu ni haki yake. Hata hivyo kumbuka kama kuna sponsor aliyemwezesha kugombea kwa makubaliano kuwa ahakikishe anashinda, basi ni vizuri tu aende mahakama ili amridhishe huyo sponsor kuwa amepambana kweli kweli.
Tumtakie tu kila la kheri.
Ukiona mbuzi juu ya mti ujue kapandishwa
 
GTs,

Ni heshima iliyoje kuona haki imetendeka na tena kwa uwazi kabisa kwa kijana Wakili Mwambukusi kuibuka mshindi.

Ni dhahiri Wakili Nkuba hakuwa kabisa na uwezekano wa kushinda. Najua michezo yetu wana CCM ya kupenyezana kila sehemu ila hapa tukubali tumeshindwa na ndiyo maana nakuomba Wakili Nkuba achana na kwenda mahakamani kupinga ushindi halali wa Wakili Mwambukusi.

Kumbuka hao hao Mawakili ndiyo watu wako na ndiyo utakaofanya nao kazi maisha yako yote. Haikusaidii kabisa kupinga kile ambacho Mungu kaamua, na elewa hali ya sasa watu wengi hawaipendi CCM kwa sababu na wizi, rushwa, ufisadi, na uzembe.

Kwa maantiki hiyo hata vyombo vya ulinzi na usalama haviwezi kupinga maamuzi ya wengi na ndiyo maana hata CCM 2025 inaweza kushindwa mchana kweupe akipatikana mgombea mbadala mwenye ushawishi maana wananchi wamechoka mno kusikia kila siku report za CAG na hazifanyiwi kazi.

Id imekuwa hacked. Hii id haina akili hii.
 
GTs,

Ni heshima iliyoje kuona haki imetendeka na tena kwa uwazi kabisa kwa kijana Wakili Mwambukusi kuibuka mshindi.

Ni dhahiri Wakili Nkuba hakuwa kabisa na uwezekano wa kushinda. Najua michezo yetu wana CCM ya kupenyezana kila sehemu ila hapa tukubali tumeshindwa na ndiyo maana nakuomba Wakili Nkuba achana na kwenda mahakamani kupinga ushindi halali wa Wakili Mwambukusi.

Kumbuka hao hao Mawakili ndiyo watu wako na ndiyo utakaofanya nao kazi maisha yako yote. Haikusaidii kabisa kupinga kile ambacho Mungu kaamua, na elewa hali ya sasa watu wengi hawaipendi CCM kwa sababu na wizi, rushwa, ufisadi, na uzembe.

Kwa maantiki hiyo hata vyombo vya ulinzi na usalama haviwezi kupinga maamuzi ya wengi na ndiyo maana hata CCM 2025 inaweza kushindwa mchana kweupe akipatikana mgombea mbadala mwenye ushawishi maana wananchi wamechoka mno kusikia kila siku report za CAG na hazifanyiwi kazi.
Hongera sana kwa kuikubali kweli maana imekuweka huru tena huru kweli kweli .
 
Mudawote akili zimekurudia? Mambo yanabadilika kumbe, siamini kama kuna siku ingekuja wewe kuja kuisema CCM hadharani namna hii
Unaweza kuta hiyo nafasi aliitaka yeye ila kwa jinsi mafisi huko yalivyo na fitina yakampeleka Nkuba! Huyu analia kilio cha mamba tu!
 
Back
Top Bottom