Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
GTs,
Ni heshima iliyoje kuona haki imetendeka na tena kwa uwazi kabisa kwa kijana Wakili Mwambukusi kuibuka mshindi.
Ni dhahiri Wakili Nkuba hakuwa kabisa na uwezekano wa kushinda. Najua michezo yetu wana CCM ya kupenyezana kila sehemu ila hapa tukubali tumeshindwa na ndiyo maana nakuomba Wakili Nkuba achana na kwenda mahakamani kupinga ushindi halali wa Wakili Mwambukusi.
Kumbuka hao hao Mawakili ndiyo watu wako na ndiyo utakaofanya nao kazi maisha yako yote. Haikusaidii kabisa kupinga kile ambacho Mungu kaamua, na elewa hali ya sasa watu wengi hawaipendi CCM kwa sababu na wizi, rushwa, ufisadi, na uzembe.
Kwa maantiki hiyo hata vyombo vya ulinzi na usalama haviwezi kupinga maamuzi ya wengi na ndiyo maana hata CCM 2025 inaweza kushindwa mchana kweupe akipatikana mgombea mbadala mwenye ushawishi maana wananchi wamechoka mno kusikia kila siku report za CAG na hazifanyiwi kazi.
Ni heshima iliyoje kuona haki imetendeka na tena kwa uwazi kabisa kwa kijana Wakili Mwambukusi kuibuka mshindi.
Ni dhahiri Wakili Nkuba hakuwa kabisa na uwezekano wa kushinda. Najua michezo yetu wana CCM ya kupenyezana kila sehemu ila hapa tukubali tumeshindwa na ndiyo maana nakuomba Wakili Nkuba achana na kwenda mahakamani kupinga ushindi halali wa Wakili Mwambukusi.
Kumbuka hao hao Mawakili ndiyo watu wako na ndiyo utakaofanya nao kazi maisha yako yote. Haikusaidii kabisa kupinga kile ambacho Mungu kaamua, na elewa hali ya sasa watu wengi hawaipendi CCM kwa sababu na wizi, rushwa, ufisadi, na uzembe.
Kwa maantiki hiyo hata vyombo vya ulinzi na usalama haviwezi kupinga maamuzi ya wengi na ndiyo maana hata CCM 2025 inaweza kushindwa mchana kweupe akipatikana mgombea mbadala mwenye ushawishi maana wananchi wamechoka mno kusikia kila siku report za CAG na hazifanyiwi kazi.