Wakili Paul Kisabo akata Rufaa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma dhidi ya uamuzi wa kufutwa kesi ya 'Afande'

Wakili Paul Kisabo akata Rufaa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma dhidi ya uamuzi wa kufutwa kesi ya 'Afande'

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Wakili Paul Emmanuel Kilasa Kisabo amekata rufaa katika Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dodoma, dhidi ya Uamuzi wa Hakimu Nyambuli Tungaraja wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma ulioifuta kesi dhidi ya Afande Fatuma.

Pia soma: Kesi ya Afande sakata la binti wa Yombo yafutwa, hatokabiliwa na shtaka lolote dhidi yake

Rufaa kesi afande.jpg
 
Matapeli hapo wanafungulia mtu kesi bila ushahidi na wanataka akamatwe ila wakikamatwa wao bila ushahidi wanapiga kelele
Acha mahakama ziamue kwa level zao usiwaite watu matapeli au majina mabaya.

Ingekuwa dada yako kafanyiwa vile usingeita watu matapeli
 
Asipowajibishwa huyo afande atatuma watu wengine wakambake binti yombo. Na safari hii watamuua kabisa
 
Back
Top Bottom