Gachagua,Fatuma mwaka huu ni mbaya kwao hadi wameumwa!Nawaonea huruma!Wakuu,
Wakili Paul Emmanuel Kilasa Kisabo amekata rufaa katika Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dodoma, dhidi ya Uamuzi wa Hakimu Nyambuli Tungaraja wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma ulioifuta kesi dhidi ya Afande Fatuma.
Pia soma: Kesi ya Afande sakata la binti wa Yombo yafutwa, hatokabiliwa na shtaka lolote dhidi yake
Waache kutafuta KikiWakuu,
Wakili Paul Emmanuel Kilasa Kisabo amekata rufaa katika Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dodoma, dhidi ya Uamuzi wa Hakimu Nyambuli Tungaraja wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma ulioifuta kesi dhidi ya Afande Fatuma.
Pia soma: Kesi ya Afande sakata la binti wa Yombo yafutwa, hatokabiliwa na shtaka lolote dhidi yake
Kama inalipa Kiki, tafuta tuu!Waache kutafuta Kiki
Matapeli hapo wanafungulia mtu kesi bila ushahidi na wanataka akamatwe ila wakikamatwa wao bila ushahidi wanapiga keleleWaweke namba wachangiwe gharama za kusimamia kesi mpk haki ipatikane
Acha mahakama ziamue kwa level zao usiwaite watu matapeli au majina mabaya.Matapeli hapo wanafungulia mtu kesi bila ushahidi na wanataka akamatwe ila wakikamatwa wao bila ushahidi wanapiga kelele
Ingekuwa ni wewe unafunguliwa kesi bila ushahidi?Acha mahakama ziamue kwa level zao usiwaite watu matapeli au majina mabaya.
Ingekuwa dada yako kafanyiwa vile usingeita watu matapeli
Nisingekuwa na wasiwasi sababu mahakama zipo na ndio kazi za mahakama kuyachuja yote hayo.Ingekuwa ni wewe unafunguliwa kesi bila ushahidi?
Unajuaje hamna ushahidi ,wakati Kesi haijasikilizwa? Acha wataalamu wa Sheria na mahakama wafanye kazi Yao!Ingekuwa ni wewe unafunguliwa kesi bila ushahidi?
Waweke ushahidi hadharaniUnajuaje hamna ushahidi ,wakati Kesi haijasikilizwa? Acha wataalamu wa Sheria na mahakama wafanye kazi Yao!
Sawa, tutakupa mrejesho!Weka bando tuu!Waweke ushahidi hadharani
Safi kabisaWakuu,
Wakili Paul Emmanuel Kilasa Kisabo amekata rufaa katika Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dodoma, dhidi ya Uamuzi wa Hakimu Nyambuli Tungaraja wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma ulioifuta kesi dhidi ya Afande Fatuma.
Pia soma: Kesi ya Afande sakata la binti wa Yombo yafutwa, hatokabiliwa na shtaka lolote dhidi yake