Wakili Shupavu kutoka Kenya


U are a miserable Advocate of its own kind.Kwanini? Haiwezekani ukaendesha biashara basing on others opinion.Haimaanishi kwakuwa America wanafanya hivyo nasi lazima tufanye vivyohivyo.Kufunguliwa kwa soko la Afrika Mashariki hakufanyi nyinyi mje kwa kuvamia bila kufuata sheria.Lazima kuwepo harmonization ya sheria kabla ninyi hamjaanza kuonyesha umachinga wenu hapa Tanzania.A good lawyeris the one who knows to find the proper law which allows him/her to perform a certain task,siyo kukurupuka tu.
 

U are a miserable Advocate of its own kind.Kwanini? Haiwezekani ukaendesha biashara basing on others opinion.Haimaanishi kwakuwa America wanafanya hivyo nasi lazima tufanye vivyohivyo.Kufunguliwa kwa soko la Afrika Mashariki hakufanyi nyinyi mje kwa kuvamia bila kufuata sheria.Lazima kuwepo harmonization ya sheria kabla ninyi hamjaanza kuonyesha umachinga wenu hapa Tanzania.A good lawyeris the one who knows to find the proper law which allows him/her to perform a certain task,siyo kukurupuka tu.
 

Huyu akwende zake, hawa jamaa kazi yao ni kujitia ujuaji wakati anashindwa kuelewa basic & fundamental elements za law..profession anayojitia ni 'mshupavu' ushupavu bila hekima + busara = sufuri. Huezi ukataka tu upractice law kwa sababu tu unataka, there should be some set of rules to be adhered to, to begin with. Popote pale ulimwenguni.

Maajabu ya M'sa haya.
 
Tz hovyo wageni wanamilikishwa ardhi bwana sembuse advocate?
Yaani hatuko serious katika kila kitu
 
Kwani vipi MkenyaMzalendo? Uzalendo wa kufanya kazi na kujenga nchi ya Kenya umekushinda?
Anyway, karibu sana Bongo-kama ulivoambiwa wabongo wengi ni Bongolala!...hata kama hauna dip ya law unaweza kujikuta unakula vichwa kama kawaida! LOL!
 

Kazi Unayo, tangaza na product nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…