Wakili: Simba hawana haki ya kupata chochote

Mahakama ndiyo itatoa hukumu yeye katoa maoni yake tu
 
Huyo wakili kilaza sheria ni pana sana .....amefikilia simba wasipoishtaki yanga wakawashtaki wabandika bango? ...sababu mbandika bango akibanwa nn kinatokea hapo ........


Haya mambo ni km ukwepaji wa kodi mtu kakuibia unaona kakwepa kodi kabisa ila huwezi mshtaki rejea uuzwaji wa hisa voda😁😁 sheria ni segment ya uhuni pia baadhi ya maeneo
 
Ana uzoefu wa kutosha
 
wanasheria wa simba wangekuwa wana akili wangeanza na lile la jezi feki zilizokamatwa wiki ile lkn maumivu 5G ndo yanwafanya wakurupukie tuvitu vitu ambavyo hawaviwezi...
 
Ana uzoefu wa kutosha
Sheria hainaga uzoefu hii ni km mambo ya intelligence tu. Hata uwe mzuri vipi ukiacha tobo wanakuvuna


Ndio maana huyu akishinda anaweza kata rufaa akashinda mwingine na yule nae akikatata rufaa na yeye anashinda
 
Wawasaidie majirani zao na mafuriko hapo jangwani sasa

Ova
 
wanasheria wa simba wangekuwa wana akili wangeanza na lile la jezi feki zilizokamatwa wiki ile lkn maumivu 5G ndo yanwafanya wakurupukie tuvitu vitu ambavyo hawaviwezi...
Lile ni la wakubwa Mzee[emoji23][emoji23]
 
Hawa ndio mawakili waliwadanganya yanga wakienda CAS watashinda kesi ya Morrison.
Leo nimepita klabu ya yanga wameweka bango hamna logo yoyote ya Simba Wala maandishi ya kutambulisha Simba zaidi ya kuandika 5-1 kwa sababu wameshajua wamefanya makosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…