johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tundu Lissu je?Nafikiri hili suala linahitaji watu matata kama Marehemu Mtikila kulifikisha mahakamani.
Tundu Lisu je?
Wakili msomi Halord Sungusia amesema sheria za Tanzania hazijaweka utaratibu wa mtu aliyewekwa mahabusu kwa muda mrefu kudai fidia pindi itakapobainika aliwekwa mahabusu kimakosa , akishinda kesi au DPP akiamua kutoendelea na kesi.
Hii imeumiza watu wengi sana lakini ndivyo utaratibu wa sheria za Tanzania ulivyo kwa sasa, amesema Sungusia.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia!
Sheria za kishenzi sana hizi MkuuSheria za kikoloni kabisa na kandamizi
Tuna tungiwa sisi masikiniSheria za kishenzi sana hizi Mkuu
Bahati nzuri na wao huwa wanageuziwa kibao inakula kwaoNdio maana kila siku upelelezi haujakamilika... wangekuwa wanalipa faini, huu ujinga ungeisha...
Mpaka hapo mbowe anaachiwa wameanza kutengeneza mazingira ya kujinasuliaWakili msomi Halord Sungusia amesema sheria za Tanzania hazijaweka utaratibu wa mtu aliyewekwa mahabusu kwa muda mrefu kudai fidia pindi itakapobainika aliwekwa mahabusu kimakosa , akishinda kesi au DPP akiamua kutoendelea na kesi.
Hii imeumiza watu wengi sana lakini ndivyo utaratibu wa sheria za Tanzania ulivyo kwa sasa, amesema Sungusia.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia!
Hata mzee Rugemalira ilibidi adai fidia!Mpaka hapo mbowe anaachiwa wameanza kutengeneza mazingira ya kujinasulia
Basi kuna umuhimu sheria zetu hizi baadhi zikafanyiwa marekebishoHata mzee Rugemalira ilibidi adai fidia!
Anakuja atalifanyia kaziTundu Lissu je?