Wakili wa Boniface Jacob: Polisi wamekuta tu Documents fulani hivi na wameondoka nazo

Wakili wa Boniface Jacob: Polisi wamekuta tu Documents fulani hivi na wameondoka nazo

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755

Hekima Mwasipu ambaye ni Wakili wa Meya wa zamani wa Ubungo ambaye pia ni Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amesema Polisi wametumia dakika takribani 180 kufanya upekuzi nyumbani kwa Boniface maeneo ya Mbezi Msakuzi Jijini Dar es salaam.

Wakili Mwasipu akiwa nje ya nyumba ya Boniface baada ya upekuzi huo amenukuliwa akisema yafuatayo mbele ya Waandishi wa Habari “Wamekuta tu Documnet fulani hivi alikuwa nafikiri alikua anaandikaandika muhtasari wa mambo yake ya kawaida”

Soma Pia:
 

Hekima Mwasipu ambaye ni Wakili wa Meya wa zamani wa Ubungo ambaye pia ni Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amesema Polisi wametumia dakika takribani 180 kufanya upekuzi nyumbani kwa Boniface maeneo ya Mbezi Msakuzi Jijini Dar es salaam.

Wakili Mwasipu akiwa nje ya nyumba ya Boniface baada ya upekuzi huo amenukuliwa akisema yafuatayo mbele ya Waandishi wa Habari “Wamekuta tu Documnet fulani hivi alikuwa nafikiri alikua anaandikaandika muhtasari wa mambo yake ya kawaida”

Soma Pia:

View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=BZZPjxJTMlpvCS5t
 

Hekima Mwasipu ambaye ni Wakili wa Meya wa zamani wa Ubungo ambaye pia ni Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amesema Polisi wametumia dakika takribani 180 kufanya upekuzi nyumbani kwa Boniface maeneo ya Mbezi Msakuzi Jijini Dar es salaam.

Wakili Mwasipu akiwa nje ya nyumba ya Boniface baada ya upekuzi huo amenukuliwa akisema yafuatayo mbele ya Waandishi wa Habari “Wamekuta tu Documnet fulani hivi alikuwa nafikiri alikua anaandikaandika muhtasari wa mambo yake ya kawaida”

Soma Pia:
Basi rais akiangaliaga hizi video anafurahi mno.

She is happy indeed.
 

Hekima Mwasipu ambaye ni Wakili wa Meya wa zamani wa Ubungo ambaye pia ni Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amesema Polisi wametumia dakika takribani 180 kufanya upekuzi nyumbani kwa Boniface maeneo ya Mbezi Msakuzi Jijini Dar es salaam.

Wakili Mwasipu akiwa nje ya nyumba ya Boniface baada ya upekuzi huo amenukuliwa akisema yafuatayo mbele ya Waandishi wa Habari “Wamekuta tu Documnet fulani hivi alikuwa nafikiri alikua anaandikaandika muhtasari wa mambo yake ya kawaida”

Soma Pia:
Huyu Binifasi yai anastahili anachokipata ,kutwa nzima anakesha kwenye mitandao kusambaza uwongo.Nilipongeze jeshi la polisi kwa kuacha kumvulia huyu mpuuzi ,nadhani na yule mpumbavu mwingine wa Machame anaeishi Arusha (Lema) naye anastahili haki yake.
 

Hekima Mwasipu ambaye ni Wakili wa Meya wa zamani wa Ubungo ambaye pia ni Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amesema Polisi wametumia dakika takribani 180 kufanya upekuzi nyumbani kwa Boniface maeneo ya Mbezi Msakuzi Jijini Dar es salaam.

Wakili Mwasipu akiwa nje ya nyumba ya Boniface baada ya upekuzi huo amenukuliwa akisema yafuatayo mbele ya Waandishi wa Habari “Wamekuta tu Documnet fulani hivi alikuwa nafikiri alikua anaandikaandika muhtasari wa mambo yake ya kawaida”

Soma Pia:
Labda wanadhani ni mikakati ya namna ya kufuga ndevu na kujenga nyumba ya kifahari wakati kazi yako ni kuuza mayai tu.
 
Huyu Binifasi yai anastahili anachokipata ,kutwa nzima anakesha kwenye mitandao kusambaza uwongo.Nilipongeze jeshi la polisi kwa kuacha kumvulia huyu mpuuzi ,nadhani na yule mpumbavu mwingine wa Machame anaeishi Arusha (Lema) naye anastahili haki yake.
Halafu usikute wewe na hao polisi wako ndiyo wapuuzi na wapumbavu wa mwisho kabisa duniani. Ila hamjioni tu.
 
Back
Top Bottom