Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Nimejiuliza sana, mawakili wa serikali wana umoja wao unaitwa TPBA (Tanzania Public Bar Association) yaani umoja wa mawakili wa serikali Tanzania, na wana Rais wao. Upande wetu TLS ukiongea kiuhalisia kabisa, unahusu Mawakili wa kujitegemea.
TLS inajali maslahi ya mawakili wa kujitegemea, na kiuhalisia, mawakili wa serikali na mawakili wa kujitegemea ni vitu viwili tofauti, hata maslahi yao ni tofauti na hata affiliation yake kwa umma dhidi ya Serikali ni tofauti.
Hivi, kweli tuseme wakili wa serikali anayelipwa mshahara na serikali anaweza kupiga kura kinyume na kile Serikali imemtuma unafikiri ni haki? Mtu yeyote mpenda haki na fairness, atakubaliana kwamba hapo hakuna fairness na TLS imeshamezwa.
Mimi ningekuwa ni serikali, ningejiweka kando kabisa na hili jambo, mawakili wa serikali hawatakiwi kupiga kura kwanza hawana leseni ya kufanya kazi kuwakilisha Raia wanawakilisha serikali tu, kwahiyo tuseme TLS ni ya serikali?
Rules zinaweza kuwa zinabada kuwafanya wapige kura lakini fairness na uhalisia, mawakili wa kujitegemea tungeachwa tuchague Rais wetu na tuendeshe mambo yetu kama zilivyo nchi zingine. Ni mawazo yangu tu.
TLS inajali maslahi ya mawakili wa kujitegemea, na kiuhalisia, mawakili wa serikali na mawakili wa kujitegemea ni vitu viwili tofauti, hata maslahi yao ni tofauti na hata affiliation yake kwa umma dhidi ya Serikali ni tofauti.
Hivi, kweli tuseme wakili wa serikali anayelipwa mshahara na serikali anaweza kupiga kura kinyume na kile Serikali imemtuma unafikiri ni haki? Mtu yeyote mpenda haki na fairness, atakubaliana kwamba hapo hakuna fairness na TLS imeshamezwa.
Mimi ningekuwa ni serikali, ningejiweka kando kabisa na hili jambo, mawakili wa serikali hawatakiwi kupiga kura kwanza hawana leseni ya kufanya kazi kuwakilisha Raia wanawakilisha serikali tu, kwahiyo tuseme TLS ni ya serikali?
Rules zinaweza kuwa zinabada kuwafanya wapige kura lakini fairness na uhalisia, mawakili wa kujitegemea tungeachwa tuchague Rais wetu na tuendeshe mambo yetu kama zilivyo nchi zingine. Ni mawazo yangu tu.