Wakimbizi wa Ukraine wapo kambi gani hapa nchini?

Wakimbizi wa Ukraine wapo kambi gani hapa nchini?

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Leo hii wakati Ofisa mwandamizi wa serikali akipokea msaada wa chakula kutoka WFP, amesema Tanzania imepokea wakimbizi kutoka Ukraine.

Naomba kufahamishwa wamewekwa katika kambi gani na kama kuna kambi mpya imeanzishwa ipo mkoa gani. Na je huduma wanayopewa wakimbizi hawa ni sawa na ile wanayopewa wakimbizi wa DRC na Burundi?
 
Wakimbizi wa Ukraine wanazurula tu mitaani Zanzibar km watalii ila hawa wa burundi na Kongo wamerundikwa kwenye makambi km wafungwa. Waafrika sjuu nani alituroga?
 
Wakimbizi wa Ukraine wanazurula tu mitaani Zanzibar km watalii ila hawa wa burundi na Kongo wamerundikwa kwenye makambi km wafungwa. Waafrika sjuu nani alituroga?
Hao siyo wakimbizi ni watalii na kama serikali inawatumia hao kuomba fedha basi huo ni ufisadi!
 
Leo hii wakati Ofisa mwandamizi wa serikali akipokea msaada wa chakula kutoka WFP, amesema Tanzania imepokea wakimbizi kutoka Ukraine.

Naomba kufahamishwa wamewekwa katika kambi gani na kama kuna kambi mpya imeanzishwa ipo mkoa gani. Na je huduma wanayopewa wakimbizi hawa ni sawa na ile wanayopewa wakimbizi wa DRC na Burundi?
Kuna wale wawili waliokwamia Zanzibar kipindi vita inaanza
 
Wakimbizi wa Ukraine wanazurula tu mitaani Zanzibar km watalii ila hawa wa burundi na Kongo wamerundikwa kwenye makambi km wafungwa. Waafrika sjuu nani alituroga?
hawa jirani burundi na congo tukiwaachia huru watajichanganya itakuwa ngumu kuwakamata tena,maana ni weusi kama sisi,lakini wa ukraine ni ngumu kutoroka kambini...
 
Back
Top Bottom