Wakina dada acheni hizo.....

ipatama

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
348
Reaction score
228
Kuna tabia moja mbaya sana akina dada mnaifanya, huwa mnapenda sana kututoa kofia tunazovaa kichwani (hasa kapelo) alafu mnaanza kukimbia nayo ili uonekane upo romantic, just imagine mi nikakutoa hilo wigi lako nianze kukimbia nalo utafurahi?

Fanyeni kile mnachopenda kufanyiwa na nyie
 
Hahahahahahhaahahahaha haki umenicheksha sana apo kweny wigii ukitaka kuachwa subutu kutoa wigi lake ndo utakapojua mbichi na mbivu
 
Inafurahisha sana...
Ila ukae ukijua... Kofia haishonewi kichwani... Ila madada wengi wanashonea mawigi yao... Wengine utawatoa na ngozi... Au itakuwa aibu...


Cc: mahondaw
 
Kazi kwelikweli..wanaleta mapenz ya kihindi na kifilipino na hawayawezi
 
Kila mtu kaumbiwa uzuri wake wa asili lakini anaona haitoshi na kuanza kujichafua na vitu akijua ndio anajirekebisha kumbe anajiharibu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…