Wakina dada chukueni huu ushauri wa Tanasha...

Wakina dada chukueni huu ushauri wa Tanasha...

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
"Asubuhi kabla ya jogoo kuwika uniamshe na kimoko" nami NAKAZIA hapo hapo,kwa afya ya akili na mwili hii kitu ya asubuhi ni muhimu sana utafiti unaonyesha 99% ya wanaopata cha asubuhi wanaamka na furaha yani wanakua fresh na akili inafanya kazi mara 100 ya mtu asiyepata asubuhi,na hawana hatari ya kupata stress,msongo wa mawazo wala shinikizo la damu,na mtoto ambaye mimba inatungwa asubuhi anakua bright sana......msitubanie tukiomba cha asubuhi asubuhi ni muhimu kwa afya zetu.
 
Mabinti waliozaliwa kuanzia mwaka 94 mpaka 2000 ndio wanasumbua sokoni sasa hivi. Waliozaliwa mwaka 94 kurudi chini experience tu ndio inawabeba.
 
Back
Top Bottom