Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Asilimia 80 ya wakina dada wa migahawa mmekuwa ni wachafu sio tu mazingira hata usafi wa mwili badilikeni uwezi kumuhudumia mteja huku umejifunga kanga au kijora kichafu miguu imepauka
Ebu angalieni hizi uniform muone kama nigharama kuzinunua au ni nyinyi mmeamua kufanya kazi kimazoea
Ebu angalieni hizi uniform muone kama nigharama kuzinunua au ni nyinyi mmeamua kufanya kazi kimazoea