Wakina dada wa JamiiForums muwe na huruma basi

Wakina dada wa JamiiForums muwe na huruma basi

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Haiwezekani mr Zero Iq hadi leo hana ata mdada mmoja huko Past Meridian (PM) wa kumliwaza ata kwa maneno matamu.

Wapi ;

Jolie Jolie.
demiss
Mama sabrina
Miss Natafuta.

Ata nyinyi mmeshindwa kuonyesha kawema kenu ata kidonchoo cha kuja kunifariji Huko ,

Acheni uoga wa kuogopa Primitive Mutual (PM) ya Mr Zero IQ mbona iko safe tu.


Nawakaribisha wadada wote mtakaopenda kujumuika na mimi Mr zero iq kule Poland Maintanace (PM) kwa wema kabisa.

Ukija leo basi utabarikiwa sana.
 
Back
Top Bottom