Wakina dada wa JF acheni kufunga pm zenu

Mwanadada aliyepo Kigoma naomba ani PM.

Mwisho Ijumaa.

Kisha yule wa Dodoma uta ni PM kuanzia jumapili.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
 
Mambo.Naomba unielekeze jinsi ya kufunga PM please.
Pole maa. Nimeshasahau hata jinsi ya kufunga huwezi amini. We iache wazi wakija wajinga wajinga usiwajibu ndo dawa. Mi yangu iko wazi mwaka wa 3 sijui ila nachagua wa kujibu.
 
Wewe ni ki ke ao me
 
Jamani aiache wazi tena [emoji3]
Eeeh. Kujibu ni maamuzi. Mi nimetukanwa sana humu yani na wanaume. Wengine usipojibu pm anakuja kukumalizia hasira jukwaani, mwingine anakuandikia akichoka anakutukana huko huko pm. Mwanzoni walikua wananishughulisha. Sasa hivi sijali yani mtu aandike mpaka aandike tena sijisikii kujibu sijibu hata atukane simjibu ng'oo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…