MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 843
utaratibu mzima wa kupata wagombea from each party ni mbovu. Badala ya kusimamishwa wale wanaopendekezwa na wanachama wanawekwa wale kutoka establishments na ndio maaana tunapata mijitu ileile na hatutaweza kuendelea