Wakinga bus Bora za kwenda kwenu ni za mchaga

Wakinga bus Bora za kwenda kwenu ni za mchaga

Mechanic 97

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2021
Posts
854
Reaction score
1,296
Aaaah! Wakinga Mbwana Kila siku kujimbwamba fai. Kua sijui mnamaghorofa kko sijui mna mambembele cargo. Lakini hayo yote ni sifa za kijinga kama kampuni Bora ya mabus itwayo ABC Ina wapeleka kwenu na inamilikiwa na wachaga ambao mnasema mmewapita kibiashara. Hii ni aibu kabisa
 
We hapo ulipo utakuta ubadula la mangi lenye sigara mbili na kikopo cha k vant upo unajidili watu ambao wapo mbele baada ya kufikiria na mimi nijivunie nini ukiacha kabila langu
 
Aaaah! Wakinga Mbwana Kila siku kujimbwamba fai. Kua sijui mnamaghorofa kko sijui mna mambembele cargo. Lakini hayo yote ni sifa za kijinga kama kampuni Bora ya mabus itwayo ABC Ina wapeleka kwenu na inamilikiwa na wachaga ambao mnasema mmewapita kibiashara. Hii ni aibu kabisa

Wakinga ni vurugu tu hapa Dar ila huko kwao makete hali ni tete hakuna sehem mbovu na zenye maisha magumu kama vijijini kwao alafu wakija mjini ni wazee wa fujo tu ila huko kwao ni huzuni
 
We hapo ulipo utakuta ubadula la mangi lenye sigara mbili na kikopo cha k vant upo unajidili watu ambao wapo mbele baada ya kufikiria na mimi nijivunie nini ukiacha kabila langu
Ningekua ninahitaji kufanya biashara hizo zenu za uchuuzi nadhani Ningeanza mapema sana hata shule ninge delay naningekuwa kama hao una wasema wapo mbele. Lakini Kwa Sababu Ninataka kufanya kitu Cha tofauti ndio maana hata so miliki hata hicho kioski unacho sema wewe
 
Ningekua ninahitaji kufanya biashara hizo zenu za uchuuzi nadhani Ningeanza mapema sana hata shule ninge delay naningekuwa kama hao una wasema wapo mbele. Lakini Kwa Sababu Ninataka kufanya kitu Cha tofauti ndio maana hata so miliki hata hicho kioski unacho sema wewe
Sawa we kuwa wa tofauti
 
Back
Top Bottom