Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 854
- 1,296
Aaaah! Wakinga Mbwana Kila siku kujimbwamba fai. Kua sijui mnamaghorofa kko sijui mna mambembele cargo. Lakini hayo yote ni sifa za kijinga kama kampuni Bora ya mabus itwayo ABC Ina wapeleka kwenu na inamilikiwa na wachaga ambao mnasema mmewapita kibiashara. Hii ni aibu kabisa
We hapo ulipo utakuta ubadula la mangi lenye sigara mbili na kikopo cha k vant upo unajidili watu ambao wapo mbele baada ya kufikiria na mimi nijivunie nini ukiacha kabila langu
Ningekua ninahitaji kufanya biashara hizo zenu za uchuuzi nadhani Ningeanza mapema sana hata shule ninge delay naningekuwa kama hao una wasema wapo mbele. Lakini Kwa Sababu Ninataka kufanya kitu Cha tofauti ndio maana hata so miliki hata hicho kioski unacho sema weweWe hapo ulipo utakuta ubadula la mangi lenye sigara mbili na kikopo cha k vant upo unajidili watu ambao wapo mbele baada ya kufikiria na mimi nijivunie nini ukiacha kabila langu
Sawa we kuwa wa tofautiNingekua ninahitaji kufanya biashara hizo zenu za uchuuzi nadhani Ningeanza mapema sana hata shule ninge delay naningekuwa kama hao una wasema wapo mbele. Lakini Kwa Sababu Ninataka kufanya kitu Cha tofauti ndio maana hata so miliki hata hicho kioski unacho sema wewe
Lazima maana huko kwenye uchuuzi sio kila mtu anaweza kumiliki mapakaSawa we kuwa wa tofauti
Wanazingua sanaWakinga ni vurugu tu hapa Dar ila huko kwao makete hali ni tete hakuna sehem mbovu na zenye maisha magumu kama vijijini kwao alafu wakija mjini ni wazee wa fujo tu ila huko kwao ni huzuni