kuna nini tena my twin. Kuna mtu anakupangia cha kuandika?ππ
Tatizo nakupenda sana my twin. Naandaa sime kabisa nasubiri ajipendekeze nitoke na sikio kama peterππ
petroHilo sikio ukikata please naliomba...nna kazi nalo
Peter yupi?
petro
Kabisa na ndio sababu mkono kauelekeza kwa kamera ili kila mmoja aone tayari anamilikiwa.Ni mmiliki halali wa pete ya ndoa, hataki mchezo.
Wanawake tuna tabu sana....hadi kuolewa ni big deal,sijui mtu anaanzaje kuniambia siolewi asee!
ukiwa tayari niambie.Hivi mwanamke wa kiafrika asipoolewa inakuaje?
yeah na mifano tunayo
Wastara wa sajuki kaolewa Mara tatu kwa ndoa za nguvu kabisa ni kismati TU haya mambo..hayanaga cha tabia nzuri wala nini
Sikuwahi kuwaza kuolewa..ila Sasa....
AhsanteNaomba nikuoe
Nitakuja kabisa kujitambulishaAhsante
Uje wapi?Nitakuja kabisa kujitambulisha