Wakitaka kuniuza nipo tayari- Aishi Manula

We jamaa waga boya sana, professional players ndo nini sasa?
Ligi ya Tanzania hakuna Professional players tuna Semi -Professional players,Mpaka mpira wetu ni Semi - professional ,Kama hutaki kukubali Acha.
 
Ligi ya Tanzania hakuna Professional players tuna Semi -Professional players,Mpaka mpira wetu ni Semi - professional ,Kama hutaki kukubali Acha.
Football Professional players- maana yake wachezaji wanaifanya kazi ya kucheza mpira katika full time basis yaani hawana kazi nyingine, hivyo wanalipwa.
Football semi professional players- Hawa wachezaji pamoja na kucheza mpira wanaweza kuwa na kazi zingine yaani kucheza mpira sio full time job, hivyo wanalipwa posho tu.

Je hakuna mchezaji katika ligi yetu anaecheza mpira kama full time job?

Au kwako wewe 'professional player' yukoje na anatoka ligi ya namna gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…