Wakiugua wanaweka namba tuwachangia

Wakiugua wanaweka namba tuwachangia

Mi bishoo tu

Senior Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
122
Reaction score
294
Endeleeni kufake maisha baadae ooooh "watanzania hawana utu,wameshindwa kumchangia msanii mwenzetu pesa za matibabu mpaka kapoteza maisha".

FB_IMG_1694545880779.jpg
 
Endeleeni kufake maisha baadae ooooh "watanzania hawana utu,wameshindwa kumchangia msanii mwenzetu pesa za matibabu mpaka kapoteza maisha"
Maisha yao kila mtu ana demu mkali na kila mwanamke ana Sponsor mwenye hela au Handsome.

Lakini sasa tazama hii
1. Mume wa Zamaradi
2. Mume wa Shilole- Uchebe
😆😆
 
Hapo kafake nini sasa? Unadhani anashindwa kulipa milion 3 kwa mwezi?
Alafu hakuna mtu anakuja kukushikia panga utoe mchango,hayo ni maisha yake makasiriko ya nini?
 
Back
Top Bottom