Mi bishoo tu
Senior Member
- Jun 3, 2023
- 122
- 294
Maisha yao kila mtu ana demu mkali na kila mwanamke ana Sponsor mwenye hela au Handsome.Endeleeni kufake maisha baadae ooooh "watanzania hawana utu,wameshindwa kumchangia msanii mwenzetu pesa za matibabu mpaka kapoteza maisha"