donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
HahahaHao kama bado wapo hai sasa hivi watakuwa wameshazeeka kuliko Afande Sele.
Ni yup huyoNikajua ni Black-T
Saana mkuuAaaaaaaaah wayback
Hakuna jinsi mkuuHuyo Caz T si ndo alikuwaga anaishi na Dokii sa sijui wameambukizana nini naona kila mtu kafuata njia yake .. Na huyo caz T ndo kaamua kukaa kimya tu atafanyaje sasa na ndo yashakuwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]najikuta nacheka tu kila nikiisoma hii comment yakoHuyo Caz T si ndo alikuwaga anaishi na Dokii sa sijui wameambukizana nini naona kila mtu kafuata njia yake .. Na huyo caz T ndo kaamua kukaa kimya tu atafanyaje sasa na ndo yashakuwa!
🙄🤔Huyo Caz T si ndo alikuwaga anaishi na Dokii sa sijui wameambukizana nini naona kila mtu kafuata njia yake .. Na huyo caz T ndo kaamua kukaa kimya tu atafanyaje sasa na ndo yashakuwa!
Boiler unauliza swali ili ujifurahishe sioHivi ushawahi kuwa na godoro jembamba
Mpk ukilala usiku wa manane unaamka kupumzika?
Nkulila anaishi Los Angeles huko state, yupo bize na kazi naona muziki ameupa kisogo.Emmanuel Nkulila - Pain in Me natafuta sana huo wimbo yupo na PISI Kali ufukweni.(Nkulila yupo STATE - USA).
Caz-T na Sarah Bonge walifanya Shooting kwenye The Score Supermarket Posta.
Emmanuel Nkulila - The Pain in Me iko YouTube mkuuEmmanuel Nkulila - Pain in Me natafuta sana huo wimbo yupo na PISI Kali ufukweni.(Nkulila yupo STATE - USA).
Caz-T na Sarah Bonge walifanya Shooting kwenye The Score Supermarket Posta.