Inafrika ni bendi kongwe imekuwapo kwa zaidi ya miaka 20, ina network kubwa na studio yake (Soundcrafters). Washapiga mahoteli makubwa mengi kuanzia Kilimanjaro mpaka vi pub / club kama "The Place" (pamebadilishwa jina na setup siku hizi. I was there last year sikumbuki panaitwaje, Shoppers Plaza kwa juu hapa).
Ukiwa kwenye network kama hii kwenye mahoteli makubwa, na kama muziki wako ni mzuri, kupata mialiko ya nje si kazi sana.