Wako wapi hawa watu

Wamehama jukwaa baada ya JF kuvamiwa na "Great Sinkers"
Mkuu wamehamia wapi? Ukweli ukiangalia profile za miaka ya karibuni utagundua watoto wengi. Bado tunaperuzi JF Great sinkers unawapuuzia wapo wengi hatari. Sometimes unasoma mada then you wonder hata hii admin wameiacha.
 
Mkuu wamehamia wapi? Ukweli ukiangalia profile za miaka ya karibuni utagundua watoto wengi. Bado tunaperuzi JF Great sinkers unawapuuzia wapo wengi hatari. Sometimes unasoma mada then you wonder hata hii admin wameiacha.
Acheni kuzingua ...
Sisi ni MAKAPUKU na underground co Great Sinkers...kwanza hatuna tabia ya kwenda General forums
Km hawapo ni kwa sababu zao binafsi acheni kutuchafua
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Acheni kuzingua ...
Sisi ni MAKAPUKU na underground co Great Sinkers...kwanza hatuna tabia ya kwenda General forums
Km hawapo ni kwa sababu zao binafsi acheni kutuchafua
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Wakati wakongwe wapo humu hawana lolote pumba tu. Twende tuakaangalie game ya yanga
 
Wakati wakongwe wapo humu hawana lolote pumba tu. Twende tuakaangalie game ya yanga
Half time ndo mama nipo hapa
Vichwa maandazi tu hawa ndo maana niliwachamba tena ni vinara wa kujaza Matakataka hapa jukwaani
 
Half time ndo mama nipo hapa
Vichwa maandazi tu hawa ndo maana niliwachamba tena ni vinara wa kujaza Matakataka hapa jukwaani
Vichwa maji Kabisa. Refa alikuwa anazingua sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…