Wako wapi hawa?

dafity

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2008
Posts
1,858
Reaction score
2,059
1. Paul James Sweya a.k.a PJ,
2. Fredy Fidelis Massawe a.k.a Fredwaa. Walikua wakisikika CLOUDS sijui wako wapi now
3. Samuel Misago alikua akisikika EATV
 
4 Gerrard handor pia alikua clouds
 
1. Paul James Sweya a.k.a PJ,
2. Fredy Fidelis Massawe a.k.a Fredwaa. Walikua wakisikika CLOUDS sijui wako wapi now
3. Samuel Misago alikua akisikika EATV
Paul James siku hizi anaripoti habari za clouds, kuhusu Fredwaa yupo Instagram tuu anaunza sure,Sam Misago ana channel yake You Tube
 
Kingine,jamaa ameshapitwa na wakati mbona kwa siku hizi sio kama yule wa zamani ndio maana clouds hawaja mtetemekea kumrudisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…