Uchaguzi 2020 Wako wapi Makada kindaki ndaki wa CCM?

🀣 🀣 🀣 🀣 ila hii ya kuzimiana mitandao ya kijamii ni ushamba uliopitiliza
 
Ndio kitu gani hiko hata sikifahamu....usikose kwenda kumpa kura za kishindo JPM.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA

VPN ndiyo habari ya mjini. Hayupo anayeitumia atakaye mpa jiwe kura.

Kwa hilo tu ninawajua CCM kadhaa ninao kituoni, watamtia adabu jiwe shortly.

Achilia mbali wale wanaochukizwa naye kwa mauaji ya watu ili kulazimisha wao tu kubakia madarakani.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Tayari nishatoka kumuumiza Lissu.
#JPM mitano yake ipo tayari.View attachment 1614264
Ila waTZ bhana eti nmetoka kumuumiza Lissu hahahhaa. Sasa unadhani mkiteseka miaka 5 mingine huyo Lissu atahustle kma ww?

Ukute hapo hta shughuli maalum huna unashinda vijiweni tu alafu unadai kumuumiza mwenye M.A ya Warwick Hahahah Tz bhana.

Unajikomoa mwenyewe tu na kizazi chako and not Lissu.
 
Pole nyingi kwa waliopoteza ndugu, marafiki na majirani ambao walistahili kuishi lakini shetani na mawakala wao wamewaondosha katika Ulimwengu huu.

Mungu mwenye huruma na mamlaka yasiyo na mipaka tunaomba awapokee marehemu hawa kwenye ufalme wake wa milele ulio na haki isiyo na mashaka. Mungu mfariji atupe faraja watanzania wote tulioguswa na vifo hivi vilivyosababishwa na shetani ambaye tulidhani ni mwanadamu mwenye hofu ya Mungu.

Mungu wetu, kisasi kipo juu ya mamlaka yako lakini maombi yetu ni kuwa laana na damu za marehemu hawa zikakae kwao walioamrisha mauaji, watekelezaji, mawakala wao na wafurahiao mauaji ya wana wako. Wao wanaua kwa mamlaka na kwa bunduki lakini wewe huhitaji bunduki wala rungu, wala fimbo kuweza kuwaadhibu na kuwakumbusha kuwa juu yao kuna mamlaka iliyo kuu ambayo ni Wewe mwenyewe.

Nyumba zao zikadumu katika laana na mateso. Nao wakakumbuke, wakajutie, na mwishowe wakakusujudie kwa matendo na kauli maana nyumba na familia zao hazitapungukiwa mahangaiko na mateso. Nao wasiotubu, damu za marehemu zikawafuate na kuwalilia wakati wote wa maisha yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mayala unajidharaulisha uzeeni. Kuijenga heshima ni kazi sana, lakini kuipukutisha hakuhitaji muda.

Yaani kweli Mayala umekosa hata ile akili ndogo kabisa ya kufikiria kuwa kwenye uchaguzi kuna kushinda na kushindwa?

Yaani wagombea wote wa upinzani kuanzia ubunge mpaka Urais wa Jamhuri na Zanzibar, hakuna atakayeshinda?

Ama kweli mahaba yaliyopitiliza huondoa akili, fikra, na hekima. Leo Mayala hana tofauti na Jingalao, Bia Yetu, USSR, Jane Lowasa, n.k; watu ambao wameamua wakati wote kusifia tu wanachokitaka, na kuweka akili jalalani.

Lakini kupanga ni kuchagua. Unaweza kuamua kuishi kwa kuitumia akili uliyojaliwa na Mungu AU kuishi kwa unafiki, na kuuweka ukweli pembeni.

Bwana asema, walio wa UKWELI huisikia sauti yake nao huishi katika KWELI ya Bwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa.... ngoma iachwe iwe free and fair. Mshindi atangazwe na sio kutumia dolla. au kuzima mitandao
 
Mimi nawatakia kila la kheri wapiga kura SOTE. Twende tupige kura yenye tija kwa miaka 5 mbele
 
Washapokea buku saba jero yao maana kazi imeshaisha
 
we shoga jiandae kufumuliwa mtaro usiku

Mnakasirika nini.. huku mnayemtetea hakatai kusapoto haya na anayasimamia kwa kishido!!!πŸ’―πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ hadi video za hao watu kufurahi tunaziona kwamba ni wafuasi wake
 
unajua uhuru wa faragha una maanisha nini?
kama hujui CCM ndo wapitisha sheria bungeni na hiyo sheria ilipitishwa na CCM kwa hiyo jibu ni kwamba CCM ndio inafadhili ushoga.
Mbona unaharaka hivyo kulikoni! Mashoga hawana nafasi Tz! JPm ndio mpango mzima!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…