Magoya2000
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 633
- 1,256
Habari za jpili!
Miaka ya nyuma TACAIDS walikuwa mstari wa mbele kufanya harakati za mapambano ya maambukizo mapya ya hiv. Kwa namna moja au nyingine ilisaidia mabinti kuogopa Mafataki.
Leo hii hamna harakati zozote tena Mafataki ndiyo wamekuwa maarufu maana ndiyo Madanga ya ukweli. Mabinti wanaenda hadi kwa waganga ili kuwapumbaza Madanga (Fataki).
HIV haizungumziwi tena, watu tunauza team balaa. Ujauzito nao umepata mbadala yaani P2. Vijana tuwe makini hali sio nzuri, watu wameoza, watundu yote yametumika. Hakuna jipya! Tumpende maisha yetu na maisha yatatupenda!
Miaka ya nyuma TACAIDS walikuwa mstari wa mbele kufanya harakati za mapambano ya maambukizo mapya ya hiv. Kwa namna moja au nyingine ilisaidia mabinti kuogopa Mafataki.
Leo hii hamna harakati zozote tena Mafataki ndiyo wamekuwa maarufu maana ndiyo Madanga ya ukweli. Mabinti wanaenda hadi kwa waganga ili kuwapumbaza Madanga (Fataki).
HIV haizungumziwi tena, watu tunauza team balaa. Ujauzito nao umepata mbadala yaani P2. Vijana tuwe makini hali sio nzuri, watu wameoza, watundu yote yametumika. Hakuna jipya! Tumpende maisha yetu na maisha yatatupenda!