Wako wapi viongozi waandamizi wa serikali waliohusika na kashfa ya Tegeta Escrow Account?

Wako wapi viongozi waandamizi wa serikali waliohusika na kashfa ya Tegeta Escrow Account?

gemmanuel265

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2016
Posts
8,485
Reaction score
18,048
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, hawa viongozi wa serikali walioruhusu mabilioni ya Tegeta Escrow Account kutolewa Bank Kuu (BOT) kwanini hawajaunganishwa kwenye kesi ya jinai ya uhujumu uchumi inayowakabili James Rugemalila na mwenzie Harbinder Singh Seth, ikiwa wao kama viongozi wa serikali ndio walioruhusu mabilioni hayo kutolewa?!

Tukiangalia mtiririko wa viongozi wa serikali waliopaswa kuwa sehemu ya watuhumiwa wa kesi ya jinai ya uhujumu uchumi wa bilioni 306 za Tegeta Escrow Account zilizokuwa Banki Kuu ni pamoja na:

1. Gavana wa Benki Kuu
2. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
3. Waziri wa Fedha
4. Paymaster General
5. Rais wa nchi (ili mabilioni yale yatoke BOT ni lazima rais aruhusu malipo hayo)

Wapo pia wale waliothibitisha kupokea mgawo wa malipo hayo haramu (wao walisema walipewa kama zawadi sababu ya ukaribu wao na James Rugemalila) kama:

1. Andrew Chenge (mb)
2. Anna Kajumlo Tibaijuka (mb)
3. William Ngeleja (mb)
4. Shabaan Ngurumo (mtumishi wa Ikulu ya utawala wa awamu ya 4)
5. Majaji
6. Maaskofu na Mapadre

Hapa lazima tuhoji inakuwaje waliokamatwa ni wafanyabiashara tu waliochotewa mabilioni hayo lakini Mawaziri pamoja na maafisa wa serikali walioruhusu mabilioni hayo kutoka, au na wale waliopata mgawo wa hayo mabilioni kama zawadi wakiendelea kula mema ya nchi bila hofu yoyote?!

Namkumbusha pia rais wangu Magufuli asisahau kuwashughulikia wale wote waliofanya ufisadi wa kivuko kibovu cha Bagamoyo kilichogharimu ma billions of money ya walalahoi wa nchi hii kilichoishia kwenda rout moja tu ya Bagamoyo wakati wa uzinduzi iliyoambatana na mbwembwe nyingi zenye tambo kibao za kisiasa kwa Waziri aliyehusika na Wizara hiyo kwa kipindi hicho, tofauti na hapo hakijawahi kuonekana tena kilikofichwa.
 
Hata yule mzee wa TRA wa zamani, Sioi na yuke binti mrembo Shose Senari wako ndani peke yao kana kwamba serikali wakati inaibiwa hakuna walio facilitate kufanikisha hilo deal.... wanafanikiwa sana kuwafunga mwanzoni kwa sheria ya kutakatisha pesa tu, yaani pale DPP anapo kuwa hakimu lakini naamini kwenye jicho la mahakama watuhumiwa watashinda.....
 
Hapo ndio huwa nakosa kabisa imani kwenye hii issue ya kupambana na ufisadi, haiwezekana wale walioruhusu kuchotwa kwa Fedha hizo wako uraiani tu lakini wachotewa ndio waonekane wenye makosa peke yao.

Kwenye kivuko cha Bagamoyo utasubiri sana mkuu.
 
Hii nchi kila kitu kinaendeshwa kwa fitna tu, nikiangalia mashtaka yanayomkabiri kitilya na wenzake nafananisha na kesi za manji tu!
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, hawa viongozi wa serikali walioruhusu mabilioni ya Tegeta Escrow Account kutolewa Bank Kuu (BOT) kwanini hawajaunganishwa kwenye kesi ya jinai ya uhujumu uchumi inayowakabili James Rugemalila na mwenzie Harbinder Singh Seth, ikiwa wao kama viongozi wa serikali ndio walioruhusu mabilioni hayo kutolewa?!

Tukiangalia mtiririko wa viongozi wa serikali waliopaswa kuwa sehemu ya watuhumiwa wa kesi ya jinai ya uhujumu uchumi wa bilioni 306 za Tegeta Escrow Account zilizokuwa Banki Kuu ni pamoja na:

1. Gavana wa Benki Kuu
2. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
3. Waziri wa Fedha
4. Paymaster General
5. Rais wa nchi (ili mabilioni yale yatoke BOT ni lazima rais aruhusu malipo hayo)

Wapo pia wale waliothibitisha kupokea mgawo wa malipo hayo haramu (wao walisema walipewa kama zawadi sababu ya ukaribu wao na James Rugemalila) kama:

1. Andrew Chenge (mb)
2. Anna Kajumlo Tibaijuka (mb)
3. William Ngeleja (mb)
4. Shabaan Ngurumo (mtumishi wa Ikulu ya utawala wa awamu ya 4)
5. Majaji
6. Maaskofu na Mapadre

Hapa lazima tuhoji inakuwaje waliokamatwa ni wafanyabiashara tu waliochotewa mabilioni hayo lakini Mawaziri pamoja na maafisa wa serikali walioruhusu mabilioni hayo kutoka, au na wale waliopata mgawo wa hayo mabilioni kama zawadi wakiendelea kula mema ya nchi bila hofu yoyote?!

Namkumbusha pia rais wangu Magufuli asisahau kuwashughulikia wale wote waliofanya ufisadi wa kivuko kibovu cha Bagamoyo kilichogharimu ma billions of money ya walalahoi wa nchi hii kilichoishia kwenda rout moja tu ya Bagamoyo wakati wa uzinduzi iliyoambatana na mbwembwe nyingi zenye tambo kibao za kisiasa kwa Waziri aliyehusika na Wizara hiyo kwa kipindi hicho, tofauti na hapo hakijawahi kuonekana tena kilikofichwa.
Harafu kuna lijitu linakuja kuanzisha sled eti jamaa naye yumo katika wazalendo wanne
 
Mh."Tumbili kada wa ccm aliyelivalia njuga suala hili aje atusaidie,msimamo rasmi wa serikali ni kuwa fedha hizo hazikuwa za serikali! Iweje leo washikiliwe watu waliokuwa wanagawa fedha zao kwa maswahiba wao?Kama kugawa fedha zako kwa umtakaye ni kosa kwa mujibu wa serikali ya ccm,je waliopokea mgao huo ambao ulifanyika kimakosa kwa nini hawaguswi?

Mh.Two2 unapoendelea kuunga mkono juhudi za kuwalinda mafisadi na wezi halisi kama vile Mh.Mwakyembe alivyoamua kuuficha Ukweli halisi wa Richmond ili kuinusuru serikali,tambua kwamba ufisadi ni ccm na serikali yake na kwamba bila serikali hakuna ufisadi,ccm hoyeeee!
 
Ni Tanzania tu mtu anaweza funguliwa kesi, au kupelekwa lupango kwa tuhuma ambazo mshitaki aja kamilisha ushahidi kisa siasa tu za kujifanya wazalendo.

Siku ukienda mahakamani nchi za wenzetu unasema bado auna evidence kesi yenyewe inafutwa hapo hapo na washitakiwa wanaachiwa huru siku hiyo hiyo.

Escrow ni siasa za kipuuzi mno.
 
Hapo ndio huwa nakosa kabisa imani kwenye hii issue ya kupambana na ufisadi, haiwezekana wale walioruhusu kuchotwa kwa Fedha hizo wako uraiani tu lakini wachotewa ndio waonekane wenye makosa peke yao.

Kwenye kivuko cha Bagamoyo utasubiri sana mkuu.
JPM msanii tu maana anapambana na ufisadi kwa kuangalia sura za watu
 
Mkuu hawa ni watu matajiri wakubwa sana nchini. Kama wakiguswa basi nchi itawaka moto na kusambaratika vipande vipande. Na katiba ya nchi na ile ya CCM zote haziruhusu kuwagusa hawa matajiri kwani wako juu ya sheria. THE UNTOUCHABLES.
 
Halafu utawasikia MAZWAZWA wa lumumba [HASHTAG]#ngwinimkazavyuma[/HASHTAG] ni mzalendo kweli Watanzania tunamuhitaji sana. Nani anamuhitaji mwizi na fisadi anayejali zaidi kuwakingia kifua wezi na mafisadi wakubwa nchini badala ya kulinda maslahi ya walipa kodi na kuacha sheria za nchi zifuate mkondo wake. Mwizi, muongo, fisadi, anayedharau katiba na sheria za nchi, Mahakama na kufanya udhalimu dhidi ya Watanzania KAMWE hawezi kuwa mzalendo.

Hapo unagusa vigogo wa Ccm, hao hawatoguswa kabisa na kesi itafutwa.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, hawa viongozi wa serikali walioruhusu mabilioni ya Tegeta Escrow Account kutolewa Bank Kuu (BOT) kwanini hawajaunganishwa kwenye kesi ya jinai ya uhujumu uchumi inayowakabili James Rugemalila na mwenzie Harbinder Singh Seth, ikiwa wao kama viongozi wa serikali ndio walioruhusu mabilioni hayo kutolewa?!

Tukiangalia mtiririko wa viongozi wa serikali waliopaswa kuwa sehemu ya watuhumiwa wa kesi ya jinai ya uhujumu uchumi wa bilioni 306 za Tegeta Escrow Account zilizokuwa Banki Kuu ni pamoja na:

1. Gavana wa Benki Kuu
2. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
3. Waziri wa Fedha
4. Paymaster General
5. Rais wa nchi (ili mabilioni yale yatoke BOT ni lazima rais aruhusu malipo hayo)

Wapo pia wale waliothibitisha kupokea mgawo wa malipo hayo haramu (wao walisema walipewa kama zawadi sababu ya ukaribu wao na James Rugemalila) kama:

1. Andrew Chenge (mb)
2. Anna Kajumlo Tibaijuka (mb)
3. William Ngeleja (mb)
4. Shabaan Ngurumo (mtumishi wa Ikulu ya utawala wa awamu ya 4)
5. Majaji
6. Maaskofu na Mapadre

Hapa lazima tuhoji inakuwaje waliokamatwa ni wafanyabiashara tu waliochotewa mabilioni hayo lakini Mawaziri pamoja na maafisa wa serikali walioruhusu mabilioni hayo kutoka, au na wale waliopata mgawo wa hayo mabilioni kama zawadi wakiendelea kula mema ya nchi bila hofu yoyote?!

Namkumbusha pia rais wangu Magufuli asisahau kuwashughulikia wale wote waliofanya ufisadi wa kivuko kibovu cha Bagamoyo kilichogharimu ma billions of money ya walalahoi wa nchi hii kilichoishia kwenda rout moja tu ya Bagamoyo wakati wa uzinduzi iliyoambatana na mbwembwe nyingi zenye tambo kibao za kisiasa kwa Waziri aliyehusika na Wizara hiyo kwa kipindi hicho, tofauti na hapo hakijawahi kuonekana tena kilikofichwa.
Mkuu usifukue makaburi tumetumia zimeisha,unataka tupate wapi za kurudisha kama wakizidai. Ngeleja anajuuta kuzirudisha hhahahahaha
 
Kwakuwa awamu hii inajinadi kupambana na ufisadi,inabidi sasa wapinzani waanze upya kuibua hoja hizi ndani na nje ya Bunge na kwa nje ya Bunge hizo hoja wazikumbishie mbele ya wanahabari na wahoji ni kwanini hawa wahusika mpaka sasa wako uraini wanadunda.
 
Back
Top Bottom