Wako Wapi Wabunge wa Simanjiro, Longido, Monduli na Kiteto? Hamuwaoni ndugu zenu wanavyo teseka? Wakati wenu waja

Wako Wapi Wabunge wa Simanjiro, Longido, Monduli na Kiteto? Hamuwaoni ndugu zenu wanavyo teseka? Wakati wenu waja

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Hawa wabunge huwezi wasikia kwenye swala lolote la kutetea Wasai wenzao wanao taabika na wanao kuwa wakimbizi chini ya utawala wa kikaburu wa CCM, hawa wanangoja vipindi vya kampeni vifike wakawadanganye wamasai wenzao na kuwalisha nyama ili wawapigie kura tena.

Hawa wabunge huu ulikuwa ni wakati wa kusimama na Ndugu zao wa Ngorongoro wao tawaliwa ba Mwarabu, ila hawaonekani kabisa na huwezi wasikia kabisa kwa lolote lile lile.

Haiwezekani ndugu zenu wanataabishwa kwe ye makazi yao ya asili na nyie mko kimya mnakula na watesi,

Ngorongoro ndugu zenu wanapelekwa uhamishinia nyie mpo, Mshukuru pia mnaongoza watu wasio jitambua

Soma Pia:
Kwa Taarifa zenu wakati wenu unakuja, hasa wewe wa Longido na Simanjiro, ngojeeni uchaguzi uishe muone mtiti wa kupelekwa Msoveri na maeneo yenu kupewa Waaabu wa Omani, na wakati huo hakuna atakaye lia na nyie make kwa sasa mko kimya kana kwamba yanayo endeea Ngorongoro kwa ndugu zenu hayawahusu.

Acheni kula na watesi wa ndugu zenu.
 
Kwa ubunge wa mbeleko unapata wapi nguvu ya kutetea wananchi?
 
Hawa wabunge huwezi wasikia kwenye swala lolote la kutetea Wasai wenzao wanao taabika na wanao kuwa wakimbizi chini ya utawala wa kikaburu wa CCM, hawa wanangoja vipindi...
Wanaogoma kuhama Wacha wateseke Hadi wafe kabisa ,huo ni upumbavu na hawapaswi kuonewa Huduma.

Wanahamishwa,wanajengewa nyumba,wanapewa Ardhi,wanapewa fidia ya hela na wanapata Huduma zote wanakohamishiwa harafu eti Baadhi Yao hawataki kisa nini?

Loliondo sio Mali ya Masai ni Mali ya Nchi,so Chadema acheni kutumia sakata la Masai Kwa maslahi ya Kisiasa
 
Back
Top Bottom