Wako wapi wachekeshaji wa Serious Funny TZ?

Kalamu Nzito

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
349
Reaction score
805
Kulikua na wachekeshaji wanajiita Serious Funny TZ ambao walianza takribani miaka 7 iliyopita.

Hawa jamaa walikuwa na content za uchekeshaji kuliko comedy tunazoziona sasa hivi. Sikuhizi siwaoni tena. Wako wapi?

Your browser is not able to display this video.
 
Kuna mmoja anaitwa Said , huwa namuona Sana maeneo ya charambe Majimatitu
 
nilikuwa nawakubali, hawa jamaa walikua bora sana... badae walipokuja kumegeka, wakatengana ndo wakapoteana....
but walikuwa na contect kali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…