Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Asante sana kwa taarifa Pole nyingi kwa familia ya Marehemu Idd Seleman Mungu ampe pumziko stahiki na wengine wenye taarifa za wachezaji wetu wa zamani tujulishane ili tuonekane kuwaenzi kwa michango yaoMalota Soma ni dereva wa teksi Magomeni,Idd Selemani "Mayor" amefariki,Ntenze John ni mchungaji ambaye makazi yake ni nchini Marekani akiihubiri Injili,Jellah Mtagwa yuko nyumbani kwake Magomeni Kagera akiendelea kujiuguza na maradhi,Idelfonce Amlima yuko nyumbani kwao Mtwara akijishughulisha na biashara binafsi