Juma pondamali mensah kocha wa makipa yanga
Amasha yupo arabuni kuna waqt alikuwa kocha wa timu ya taifa ya vijana
Abeid mziba-tekelo yupo hapa hapa jijini namkumbuka kuna viatu flan hivi vya turubali alikuwa anapenda kuvivaa mpaka vikabatizwa jina lake vilikuwa chuchu zake zimetengenezwa kama korosho flan hivi.