Wako wapi wadada hawa wenye vipaji vikubwa vya Muziki?

Wako wapi wadada hawa wenye vipaji vikubwa vya Muziki?

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,265
Hawa wadada wawili waliunda kukundi kilichoitwa Unique Sisters. Kwa majina kama nakumbuka
ni Razia na Rahma Kipoozi. Wadada hawa waling'ara sana miaka ya 1985-1990 hivi.
Vibao vyao sivikumbuki vizuri ila nakumbuka sana walivyokuwa machachari kwenye video zao.

Kwa muda mrefu sana sijawasikia. Wamesambaratika au vipi kwa anayewajua, na wako wapi na wanafanya
nini?
 
Hawa wadada wawili waliunda kukundi kilichoitwa Unique Sisters. Kwa majina kama nakumbuka
ni Razia na Rahma Kipoozi. Wadada hawa waling'ara sana miaka ya 1985-1990 hivi.
Vibao vyao sivikumbuki vizuri ila nakumbuka sana walivyokuwa machachari kwenye video zao.

Kwa muda mrefu sana sijawasikia. Wamesambaratika au vipi kwa anayewajua, na wako wapi na wanafanya
nini?

mbona unawazeesha hiyo miaka mbona ndio waliyozaliwa aisee
 
Waliishi sana Dodoma wakati Baba yao Ahmed na Mama yao Sango Kipozi wakitangaza Radio Tanzania Kanda ya Kati-RTKK. Kisha ndio wakaenda Radio Japan!
 
Waliishi sana Dodoma wakati Baba yao Ahmed na Mama yao Sango Kipozi wakitangaza Radio Tanzania Kanda ya Kati-RTKK. Kisha ndio wakaenda Radio Japan!
 
Hawa wadada wawili waliunda kukundi kilichoitwa Unique Sisters. Kwa majina kama nakumbuka
ni Razia na Rahma Kipoozi. Wadada hawa waling'ara sana miaka ya 1985-1990 hivi.
Vibao vyao sivikumbuki vizuri ila nakumbuka sana walivyokuwa machachari kwenye video zao.

Kwa muda mrefu sana sijawasikia. Wamesambaratika au vipi kwa anayewajua, na wako wapi na wanafanya
nini?

Naomba nijue umri wako kwanza, maana mh!
 
Mmoja wao,yule wapili kwa kuzaliwa,aliolewa na mzee mmoja wa kijapan mwanzoni mwa miaka ya 2000.Nafirikiri ndo kwanza alitoka kuvunja ungo.
 
Hawa wadada wawili waliunda kukundi kilichoitwa Unique Sisters. Kwa majina kama nakumbuka
ni Razia na Rahma Kipoozi. Wadada hawa waling'ara sana miaka ya 1985-1990 hivi.
Vibao vyao sivikumbuki vizuri ila nakumbuka sana walivyokuwa machachari kwenye video zao.

Kwa muda mrefu sana sijawasikia. Wamesambaratika au vipi kwa anayewajua, na wako wapi na wanafanya
nini?

Radhia yupo pale sayansi katika lile jengo la science na technologia yupo katika kampuni moja ya IT inaitwa envaya(ina office mule) ana cheo kikubwa kidogo katika hio kampuni..kwa tetesi kutoka kwa mdau wangu ambae anafanya kazi pale huyo radhia ni kimada wa huyo mwenye kampuni(mmarekani anaitwa joshua stern)
 
Radhia yupo pale sayansi katika lile jengo la science na technologia yupo katika kampuni moja ya IT inaitwa envaya(ina office mule) ana cheo kikubwa kidogo katika hio kampuni..kwa tetesi kutoka kwa mdau wangu ambae anafanya kazi pale huyo radhia ni kimada wa huyo mwenye kampuni(mmarekani anaitwa joshua stern)

hongera zake,hasa kwa kummliki huyo mwenye hiyo kampuni
 
Walikuwa wa3, si wale watoto wa Kipozi!
Sasa hvi 2 wanaishi Manzense kwa mfuga Wow!
madame nawe kwa kurusha matone ya tope! Sidhani kama ripoti yako ni sahihi.
 
Last edited by a moderator:
mbona unawazeesha hiyo miaka mbona ndio waliyozaliwa aisee
Nia ya post yangu ni kufahamu walipo, siyo umri wao. Kama sasa ni vijana au wazee Mungu awabariki tu popote walipo.
 
hongera zake,hasa kwa kummliki huyo mwenye hiyo kampuni
Unampa mtu hongera ambaye badala ya kufanya bidii amiki kampuni au shirika yeye anatumia nguvu zake kummiliki mmiliki wa kampuni?
 
Back
Top Bottom