Wako wapi wadada hawa wenye vipaji vikubwa vya Muziki?

Rahma, Radhia na Radhina
Walianza kuimba Rahma & Radhia na kaka yao Ibra wakiwa pamoja na kundi la G'z Mobb lililokuwa na msanii Gerad Siri a.k.a G-Solo.
Nyimbo yao kwanza kuitoa ni Tucheke na tucheze tufurahi 1996.
Video yake ilifanyika CBE dodoma, Area C' eneo la wajenzi.
Itaendelea.............................


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mmoja wao,yule wapili kwa kuzaliwa,aliolewa na mzee mmoja wa kijapan mwanzoni mwa miaka ya 2000.Nafirikiri ndo kwanza alitoka kuvunja ungo.
Babu wa kijapani atakuwa hai mpaka leo kweli? tutumie hiyo fursa, tukauze magari jappan hukoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…