cha1509
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 258
- 402
Eti underdog,
Simba ni mnyama wa mwituni, akikosa nyama hula hata majani,
Nani aliyepinga kuwa Simba hawaingii hatua ya robo fainali?
Yuko huyo zahera? Timu yake imelipuliwa na lipuli huko uwanja was CCM samora,
Huku wakongo wenzake tumenyonyoa two one, na ole wenu tumewakosakosa, tungewapiga wiki leo! Sema tumewahurumia kwa kuwa soka ni urafiki!
Tulijifunza kwa Js Soura, tulimpiga tatu benchi zima likatimuliwa! Sasa hatutaki haya yawakute wakongomani kwa sababu Hawa n jirani zetu,
Poleni Sana yanga, poleni A's Vita, pole Sana zahera! This is Simba bwana! Do or Die DONE.
Heko kwa Patrick, heko kwa Simba, cc chama, boko, niyonzima na wengine woteeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba ni mnyama wa mwituni, akikosa nyama hula hata majani,
Nani aliyepinga kuwa Simba hawaingii hatua ya robo fainali?
Yuko huyo zahera? Timu yake imelipuliwa na lipuli huko uwanja was CCM samora,
Huku wakongo wenzake tumenyonyoa two one, na ole wenu tumewakosakosa, tungewapiga wiki leo! Sema tumewahurumia kwa kuwa soka ni urafiki!
Tulijifunza kwa Js Soura, tulimpiga tatu benchi zima likatimuliwa! Sasa hatutaki haya yawakute wakongomani kwa sababu Hawa n jirani zetu,
Poleni Sana yanga, poleni A's Vita, pole Sana zahera! This is Simba bwana! Do or Die DONE.
Heko kwa Patrick, heko kwa Simba, cc chama, boko, niyonzima na wengine woteeee.
Sent using Jamii Forums mobile app