Wako wapi wale waliokuwa wakidai Zanzibari yao kwa matusi na vidumu vya tindikali?

Wako wapi wale waliokuwa wakidai Zanzibari yao kwa matusi na vidumu vya tindikali?

Chris Lukosi

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
4,583
Reaction score
2,944
Ndugu zanguni,

Nimeshangazwa sana na ukimya wa hawa jamaa zetu ambao kila kukicha walikuwa wakiandamana na vidumu vya tindikali wakidai kujitenga na kuwa hawautaki muungano, mara ooh watanganyika machogo tunawang'ang'ania , mara ooh hawatutaki huko kwenye swamp yao. Lakini cha kushangaza sasa tume ya katiba imewafungulia milango wachomoke hatuwaoni, wameuchuna kimyaa, kama hawapo bungeni vile.

Mimi kwa kifupi nashindwa kabisa kuwaelewa hawa jamaa zetu. Kuna kipindi ulikuwa ukikutana nao hata bara au mitaani stori ni kujitenga tu utafikiri wamefungwa. Sasa na sisi watanganyika tumechoka tumewaonyesha jinsi tulivyochoshwa na huu muungano wa tembo na sisimizi mnyonyaji. Tunawaambia wajitenge badala yake wanaanza kurembua macho.

Wapi yale matusi waliyokuwa wakikesha kututukana humu na mitaani? wapi vidumu vya tindikali? wapi mapovu?


WAZANZIBARI TUMIENI MUDA HUU KUCHUKUA TALAKA YENU, TENA TALAKA TATU MUANZE..

TUMECHOKA!
Flag_of_Tanganyika.png



https://www.facebook.com/photo.php?v=640656519317319&set=vb.100001189291607&type=2&theater
 
Leo umeandika bila kuiongelea CHADEMA, Big up mkuu. Kama ambavyo alishawahi sema Shein wale ni wahuni tu. Wameteuliwa kuingia bungeni badala ya kuongelea yaliyokuwa yanawabana wanatishia kuzomea bungeni. Walikuwa wanatishia nyau.Hawana jeuri hiyo.
 
Kujitenga ama kutojitenga, kura ya ki-crimea na urusi vinahusika. Hisia tu hazitoshi!!!!
 
Haha....siku hizi una maono......leo warioba kawafurahisha sana ...ila pia kuna mengi sana wazenj watayajutia..kwani rushwa za kijing za CCM sasa hazitokuwa tena na nafasi kwani hapatakuwa na kublackmail tena.Kila kitu kitakuwa wazi...kupewa kimaficho kwa nini tena?
 
Ndugu zanguni,

Nimeshangazwa sana na ukimya wa hawa jamaa zetu ambao kila kukicha walikuwa wakiandamana na vidumu vya tindikali wakidai kujitenga na kuwa hawautaki muungano, mara ooh watanganyika machogo tunawang'ang'ania , mara ooh hawatutaki huko kwenye swamp yao. Lakini cha kushangaza sasa tume ya katiba imewafungulia milango wachomoke hatuwaoni, wameuchuna kimyaa, kama hawapo bungeni vile.

Mimi kwa kifupi nashindwa kabisa kuwaelewa hawa jamaa zetu. Kuna kipindi ulikuwa ukikutana nao hata bara au mitaani stori ni kujitenga tu utafikiri wamefungwa. Sasa na sisi watanganyika tumechoka tumewaonyesha jinsi tulivyochoshwa na huu muungano wa tembo na sisimizi mnyonyaji. Tunawaambia wajitenge badala yake wanaanza kurembua macho.

Wapi yale matusi waliyokuwa wakikesha kututukana humu na mitaani? wapi vidumu vya tindikali? wapi mapovu?


WAZANZIBARI TUMIENI MUDA HUU KUCHUKUA TALAKA YENU, TENA TALAKA TATU MUANZE..

TUMECHOKA!
Flag_of_Tanganyika.png

Chris Lukosi, with due respect. Nimeipenda thread yako..Leo kama ulikuwa unaangalia TV wakati Hn. Warioba anawasilisha makofi mengi kuhusu Muungano naamini yalitoka kwa wazanzibar. SSM bara walikaa kimya sana tena kwa huzuni!!
 
Ndugu zanguni,

Nimeshangazwa sana na ukimya wa hawa jamaa zetu ambao kila kukicha walikuwa wakiandamana na vidumu vya tindikali wakidai kujitenga na kuwa hawautaki muungano, mara ooh watanganyika machogo tunawang'ang'ania , mara ooh hawatutaki huko kwenye swamp yao. Lakini cha kushangaza sasa tume ya katiba imewafungulia milango wachomoke hatuwaoni, wameuchuna kimyaa, kama hawapo bungeni vile.

Mimi kwa kifupi nashindwa kabisa kuwaelewa hawa jamaa zetu. Kuna kipindi ulikuwa ukikutana nao hata bara au mitaani stori ni kujitenga tu utafikiri wamefungwa. Sasa na sisi watanganyika tumechoka tumewaonyesha jinsi tulivyochoshwa na huu muungano wa tembo na sisimizi mnyonyaji. Tunawaambia wajitenge badala yake wanaanza kurembua macho.

Wapi yale matusi waliyokuwa wakikesha kututukana humu na mitaani? wapi vidumu vya tindikali? wapi mapovu?


WAZANZIBARI TUMIENI MUDA HUU KUCHUKUA TALAKA YENU, TENA TALAKA TATU MUANZE..

TUMECHOKA!
Flag_of_Tanganyika.png
Mkuu kwa mengi huwa naitirafiana na wewe,lakini hili la kuondokana na hawa walalamishi tuko pamoja.
Tena sio vya sijui serikali tatu mbili au moja bali ni kila mtu na hamsini zake tumechoka.
Tunakata mzizi wa fitina na kero zinaisha kabisa.
 
mkuu kirisi heshima kwako, nikupongeze kwanza kwa kutotembea kwa mguu maana tayari kalenga mmeichukua, ivo ile ahadi yetu ya mm kukusimamia ukitembea kwa mguu mpaka kalenga imeisha. Pia nakushukuru kwa kuibandika bendera ya Taifa marehemu litakalofufuliwa kwa miujiza sio ya gwajima bali wajumbe mia6 na kenda. Tunakusubiri Tanganyika!

Napenda kusema kuwa usiwatusi wazanzibar na iyo tindikali sio tamaduni au nembo ya zanzibar na wala haiko ktk maandishi yoyote ya muungano! Napenda uwapongeze kwa kuwa watulivu wakisubiri muda wao kama wajumbe wa bunge ili la katiba, kura zitapigwa baada ya hapo ndo msimamo wao utaonekana, aya ya kuwachokoza na kuwachorea ziwa la mama uone nani atalifuta na mwenzie sio vizuri mkuu,
Wanafikiria kwanza maneno ya Pilato Warioba then ndo waamue kwa kura na michango bali sio vurugu.
Naipenda Tanganyika,Naipenda Zanzibar huru, Naupenda Muungano wa nchi HURU mbili, yaani Tanzania!
 
Hata mimi,kwa hili nakuunga mkono.
Rudi nyumbani unaonekana moyo na akili vipo huku,ila kiwili wili tu ndio ipo kule.
 
Hivi hamjui hamuelewi hamfahamu,mpompo tu ? Hilo la kila mmoja na hamsini zake ndio hilo linalotafutwa na WaZanzibari ,WaZanzibari wechauchoka Muungano huu wa kimagumashi ,hao vitimbakwiri vya kizanzibari vilivyochomekwa na bwana wao ccm ndio vimeduwaa na kushikwa na bumbuwazi wasipoungana na wenzao wenye msimamo mkali mwisho wake wataumbuka na kubakishwa pekeyao maana mdharau kwao hakika amepotoka na hao wamepotoka na lana itawashukia nyie washabikie UCCM maana Tanganyika ndio inawakingia kifua ukichunguza wote wameshinda ubunge kwa msaada wa tume ya uchaguzi ya Taifa inayomilikiwa na CCM lakini si wachaguliwa na wananchi.
 
wametulia kimya kama wamemwagiwa maji ya baridi asubuhi, walikuwa wanabip sasa kuna watu wanapiga wakaona alaleee kumbe muundo wa zamani ulikuwa na faidia kwetu ehee. akika yake muundo huu ukibadilika zanzibar itakuwa mahali pagumu sana kuishi. wataikumbuka tz mno.
 
Ndugu zanguni,

Nimeshangazwa sana na ukimya wa hawa jamaa zetu ambao kila kukicha walikuwa wakiandamana na vidumu vya tindikali wakidai kujitenga na kuwa hawautaki muungano, mara ooh watanganyika machogo tunawang'ang'ania , mara ooh hawatutaki huko kwenye swamp yao. Lakini cha kushangaza sasa tume ya katiba imewafungulia milango wachomoke hatuwaoni, wameuchuna kimyaa, kama hawapo bungeni vile.

Mimi kwa kifupi nashindwa kabisa kuwaelewa hawa jamaa zetu. Kuna kipindi ulikuwa ukikutana nao hata bara au mitaani stori ni kujitenga tu utafikiri wamefungwa. Sasa na sisi watanganyika tumechoka tumewaonyesha jinsi tulivyochoshwa na huu muungano wa tembo na sisimizi mnyonyaji. Tunawaambia wajitenge badala yake wanaanza kurembua macho.

Wapi yale matusi waliyokuwa wakikesha kututukana humu na mitaani? wapi vidumu vya tindikali? wapi mapovu?


WAZANZIBARI TUMIENI MUDA HUU KUCHUKUA TALAKA YENU, TENA TALAKA TATU MUANZE..

TUMECHOKA!
Yaani mkuu umenichekesha sana ... wanatembea na vidumu ... yaani umeongea ukweli tupu ... kumbe unazo point za maana tu ... mimi pia nawashangaa sana... kumbe walikuwa wanatikisa kiberiki.... zinshe.
 
Ndugu zanguni,

Nimeshangazwa sana na ukimya wa hawa jamaa zetu ambao kila kukicha walikuwa wakiandamana na vidumu vya tindikali wakidai kujitenga na kuwa hawautaki muungano, mara ooh watanganyika machogo tunawang'ang'ania , mara ooh hawatutaki huko kwenye swamp yao. Lakini cha kushangaza sasa tume ya katiba imewafungulia milango wachomoke hatuwaoni, wameuchuna kimyaa, kama hawapo bungeni vile.

Mimi kwa kifupi nashindwa kabisa kuwaelewa hawa jamaa zetu. Kuna kipindi ulikuwa ukikutana nao hata bara au mitaani stori ni kujitenga tu utafikiri wamefungwa. Sasa na sisi watanganyika tumechoka tumewaonyesha jinsi tulivyochoshwa na huu muungano wa tembo na sisimizi mnyonyaji. Tunawaambia wajitenge badala yake wanaanza kurembua macho.

Wapi yale matusi waliyokuwa wakikesha kututukana humu na mitaani? wapi vidumu vya tindikali? wapi mapovu?


WAZANZIBARI TUMIENI MUDA HUU KUCHUKUA TALAKA YENU, TENA TALAKA TATU MUANZE..

TUMECHOKA!
Ha ha ha ha haha !
 
Mkuu sio bungenbi tu, hata mitaani huwasikii wakipiga kelele kwenye vijiwe vya kahawa.

Siku hizi wanaongelea arsenali na chelsii tu. chezea njaa wewe....
Kura ya wazi haiwezi kuwaokoa kweli?Kwenye hili unasemaje Chris Lukosi
 
Last edited by a moderator:
Kuna msemo usemao "hamwezi kutofautiana katika kila kitu" leo nimegundua kuwa pamoja na kuwa meme na Chris Lukosi huwa tunatofautiana sana hasa ktk masuala ya siasa, linalotuunganisha na yeye ni suala zima la UTANGANYIKA. Pamoja sana bro!
 
Last edited by a moderator:
Kuna msemo usemao "hamwezi kutofautiana katika kila kitu" leo nimegundua kuwa pamoja na kuwa meme na Chris Lukosi huwa tunatofautiana sana hasa ktk masuala ya siasa, linalotuunganisha na yeye ni suala zima la UTANGANYIKA. Pamoja sana bro!
Mkuu siasa sio uadui, sisi sote ni ndugu tatizo njaa tu.

Kwa kifupi ni kwamba mimi na wewe ni watanganyika na inabidi uungane kumuondoa huyu kupe laa sivyo tutakuwa tunakosa usingizi.

Zanzibar ni kama na mbu tu ndani ya neti...
 
Mkuu sio bungenbi tu, hata mitaani huwasikii wakipiga kelele kwenye vijiwe vya kahawa.

Siku hizi wanaongelea arsenali na chelsii tu. chezea njaa wewe....
Jaribuni kupitisha msimamo wa serikali mbili halafu ndio mjadili hii mada. Mtawasoma kwa rangi zote.
 
Back
Top Bottom