Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Je walistaafu? Je walipangiwa majukumu mengine kama inavyotokeaaga kwa wanasiasa? Sio mbaya kujua walipo Watanzania wenzetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh!Wanalinda Kaburi
Huyu jamaa alipendwa sanaHuyu hapa mmojaView attachment 2432911
Huyu hapa mmojaView attachment 2432911
Huyu mjuba alikula good timeHuyu hapa mmojaView attachment 2432911
Ehh Mama Samia hongera kwa Udakitari mama etu jamani 😂Mnataka muwapazie sauti? 🙌😄😄😄
Ukiwa unafanya kazi vizuri lazima utakula good time, that's part of life aishi miaka mingi mwambaHuyu mjuba alikula good time
Huyu jamaa ikiwezekana agombee urais tu.maana atakuwa anajua mbinu zote alizozitumia JPm kuwaletea maendeleo watanzania.Tofauti na sasa mother amepoteza.mwelekeoHuyu hapa mmojaView attachment 2432911
Huyu mwamba big up kwake alifanya kazi yake kwa ufasaha kabisaaaaaHuyu hapa mmojaView attachment 2432911
Huyo Mwamba Sebastian anaishi kwenye zile nyumba za mawaziri Mikocheni, naonana nae mara nyingi tu akiwa na gari yake Jeep new modern au mara nyingine MBW. Ukimuangalia tu anafunga vioo maana anapenda sana kuendesha kioo kimoja cha upande wake kikiwa nusu. Na siku hizi kule hawaruhusiwi watu kupita, unaishia pale CRDB bank halafu wameweka geti na walinziHuyu hapa mmojaView attachment 2432911
Mama Daktari anaupiga mwingi🤣🤣🤣Huyu jamaa ikiwezekana agombee urais tu.maana atakuwa anajua mbinu zote alizozitumia JPm kuwaletea maendeleo watanzania.Tofauti na sasa mother amepoteza.mwelekeo
Ila per diem walipiga piaWalinzi wa Msoga ndio walikula good time. Hawa wa JPM safari za Chato-Dom, Dar na Mikoani tu.
Mwamba alikua anajua kazi yake