Wako wapi waliokuwa walinzi wa hayati Magufuli?

Huyu mwamba kwenye picha aloo alikua njema sana alaf alikua makini kama ushahudhuria mikutano ya jpm jamaa alikua indetail ukijigusa vibaya tu ashakutupia jicho kuna siku nilimsumbua sana mpka nikasepa ananikazia jicho tu
 
Huyu mwamba kwenye picha aloo alikua njema sana alaf alikua makini kama ushahudhuria mikutano ya jpm jamaa alikua indetail ukijigusa vibaya tu ashakutupia jicho kuna siku nilimsumbua sana mpka nikasepa ananikazia jicho tu
😀😀 Nchi yangu Tanzania nakupendda wewe na watu wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…