Vitu wanavyo fanya ccm na serikali yao leo hii na kujisifia kwamba ni maendeleo vilipaswa kufanyika miaka 30 nyuma huko lakini walivyo kua na akili fupi kama njia ya kwenda chooni baada ya miaka 60+ ya uhuru kwenye Karne ya sayansi na teknolojia ndio wanatamba kabisa kwa kujenga zahanati, madarasa na matundu ya vyoo bado umeme ni shida ufisadi Kila pahala kwa kifupi wale maadui watatu wa taifa wameongezeka wamekua wanne umaskini, ujinga, maradhi na ccm
Nina uhakika kabisa kama mkoloni angekuepo kusingekua na mgao wa umeme na shida maji bila kusahau ufisadi ambao ni tabia ya asili kabisa ya viongozi wa ccm kama ilivyo sasa hivi, Tanganyika ilitakiwa kua chini ya utawala wa mkoloni angalau hadi mwaka 2000 kuna hatua kubwa kimaendeleo tungekua tumeipiga