Na mie huoni hapo nimebakiza miezi kiduchu nifikishe miaka 10 humu JF!!!!!
hahahahahah ahsante mheshimiwa Tembosa kwa kuniona hahahahahaMkongweee
ShukraniNdiyo hivyo mkongwe mkongwe tu....
Mkongwe ni yeyote anayejitambua....
Hahahaaa. ukisepa na uzi wako unasepa