Daddy yake Vale[emoji8] [emoji8]Kweli sijakuwepo humu siku nyingi duh, hii wakongwe imeanzishwa lini?
Haiwezekani akawa mwenyekiti tangu enzi za ujana wake hadi kazeeka sasaanataka kuwa kurunzinza! ha ha ha ha ha ha
Daddy kwani huyu ndo mamii yangu?Maboko haram mengi siku izi yameniteka balaa hadi nakupoteza wangu, ila nimerudi sasa, sasa hivi yakitaka kuniteke tunasainishana mkataba yawe yananipa muda wa kukukonsalti.
Basi sawakaribu sana, sema hapa hakuna kapuk...
Yupo kweli huyu bepari la kihaya, au yupo zake kashozi anakula senene tuHuyo kanogewa na dolali za FiFa kule tiefuefu...!!
Haswa tembosahuu mwandiko huu ni wakikongwe.
Hahahahaha alikua ndugu yangu wa JF na bado ni ndugu yangu wa JF ila mambo mengi tu siku hizi, unakumbuka kwenye ile picha tulipokwenda Ocean Road?? Ulikuepo? Hahahahaha JF ooghh nakupenda sana JFasante mkuu Elli hivi ulikuwa una undugu na ladyfurahia?