Nina vingi sana vya kukunyima... Na nimedhamiria kukunyima teh
Kabla sijaisoma nitakua nishakusomesha he heeWalahi utaisoma namba nakuambia.
Acha hizo lakini🙂
Uwii nimeshafika fasta, nimetoka nduki huko nusu nigongwe na gari looohNjoo inbox fastaaa
Jukwaa la Wakongwe ni kupeana salamu za kumisiana.
Naauummnizii kuwaita wakongwe wazoefu.
ma legendary
Itakuwa vyema zaidi.Na kuwatia hamasa wajaribu kushiriki hapa jamvini kama walivyokuwa wakishiriki siku za nyuma.
Umeanza kurudisha majeshi nyuma.Ngoja kwanza