Niko poa Mr Rocky naona simu yangu imegoma ku quote moja kwa moja.
Nitaenda ila nitanunua nzuri kwa ajili yahii forum
Utukufu umrudie yeye aliye uuh
[emoji120] thanks for complement
[emoji8] from my lips
Thanks
Inabidi kuwa hivyo
Hahaha. MakapukuSana aise zile enzi zilikuwa bomba sana
Kwa sas azama zimeingiliwa na wavaa mlegezo na wabana pua