Mwache kwanza nione anapenda pua ipi maana moja wapo ni ruksaMi naogopa kuona mtu aking'atwa, msamehe
Haya kwajili yako namsameheMi naogopa kuona mtu aking'atwa, msamehe
Ya chiniHe hee heee unang'ata pua ipi maana ninazo mbili
Kama kawaida yako.........Ya chini
Ooh ya ya yaaKama kawaida yako.........
Shiiiiiiiiiiiiiiiii....Kweli ....???
Mimi ni mtumishi wa bwana siku hizi.... tafadhali nitendee ulivonena...
Ukizingatia imeandikwa tutakula kwa jasho letu...Watumishi wa Bwana huwa wanakula madhabahuni na ndani ya uzio wa makanisa yao
So hapo sina ubishi
Hebu muulize ni bwana yupi anaetumika kwake?
Aiseee....!@asprinUkizingatia imeandikwa tutakula kwa jasho letu...
Na wao kwa uchungu watazaa
ukweli inashangaza.!!