Jana na leo
Mama naona umetoka pangoni spid spid... Ama kweli mume anauma japo hana menoNisikukamate tu jaribu...n
Sasa Arabela na Heaven Sent wanafanya nini kama ndo ivo?Hapa tuko Sudani ya Kusini kusimamia amani chini ya mwamvuli wa UN.....
Aisee achana na huyu Heaven Sent. Ni mali yangu binafsi. Nimeshamsajili...Sasa Arabela na Heaven Sent wanafanya nini kama ndo ivo?
Anhaaaaa.....nshajua style ya kukuita.Arabela ndo nani baba watoto? π±
Mbona yeye hujamtambulisha rasmi kama vile sheria inavyopaswa?
Darling shem... kiki? π
Abee shemejiSasa Arabela na Heaven Sent wanafanya nini kama ndo ivo?
Chunga sana. Ndugu zangu wengi hawanaga ushemejiAbee shemeji
Eeeh wanakulaga tu, nimekusikia babuChunga sana. Ndugu zangu wengi hawanaga ushemeji
Na kuliko wakukulage wewe bora niRIP kabla ziraili hajaja....Eeeh wanakulaga tu, nimekusikia babu