Iweje sasa baada ya kapuku wenye JF mnaanza kuanza uzi mwingine tena? Watatoka wale wa kati ambao si makapuku wala waanzilishi sasa hapo itakuwa shida. Mimi nitakuwa wapi bajameni????
Iweje sasa baada ya kapuku wenye JF mnaanza kuanza uzi mwingine tena? Watatoka wale wa kati ambao si makapuku wala waanzilishi sasa hapo itakuwa shida. Mimi nitakuwa wapi bajameni????