zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
Kama wewe unavobadilisha kama boxes tehTeh teh...anawabadilisha kama chupi ya bambinoπ.
Tena wabeba maboksi....pole Mangi.
Wasukuma watamu aise...
Kama wewe unavobadilisha kama boxes teh
Wewe ushapita sasa unawaunganishia wasukuma wenzio au sio..
Wachaa bana.. Unawala kwa ndimu na pilipili kabisa au sio..Wasukuma watamu aise...
hehehehehehehe Ngosha bana...Dah...Mangi mbona unapenda sana kunisingizia mambo lakini?
Mi nimepita lini hapo?
Sijawahi kabisa kupitia hapo hata siku moja achilia mbali kufikiria.
Ushamwona alivyo lakini?
Tuheshimiane tadhali mkuu sana ππππ.
hehehehehehehe Ngosha bana...
Mimi mbona nina full mkanda aisee..
Ha haa na vinega piaWachaa bana.. Unawala kwa ndimu na pilipili kabisa au sio..
Wala sikujui hata zaidi ya kukuona humu tuHmm...Mangi umedanganywa aisee.
Lakini..kwa nini tuandikie mate wakati wino upo?
Mwenyewe si yupo hapa?
Hebu mwulize kama hata keshawahi kuonana na mimi na kunichumu? Though ningeweza kumezwa πππ.
Kusema mimi nimepitia unanisingizia bure tu.
Wala sikujui hata zaidi ya kukuona humu tu
Ebu Valentina njoo ujibu hapa..Hmm...Mangi umedanganywa aisee.
Lakini..kwa nini tuandikie mate wakati wino upo?
Mwenyewe si yupo hapa?
Hebu mwulize kama hata keshawahi kuonana na mimi na kunichumu? Though ningeweza kumezwa πππ.
Kusema mimi nimepitia unanisingizia bure tu.
Akuu nimdanganye ili iweje sasa!
Ebu Valentina njoo ujibu hapa..
Huyu mbeba box hajawahi kweli though najua hili ngumu kujibika hapa basi nitakufata PM..
hehehehe na yule sista duu wa Mikocheni vipi.. Yule anaanzia na K
hehehehe kwani sasa mtakubali mbele ya hadhara.. Mbona yule demu superstar wa humu nae anaugomvi na wa sasa mpaka anamwita House girl... hehehehe JF banaMangi kwa nini lakini mi huwa hunitendei haki? Hivi nimewahi kukukosea nini? Teh teh teh....
'Mrembo' wetu tayari keshasema wazi kabisa kuwa hatujuani na sijawahi kupita.
Sasa kwa nini wewe hutaki kukubali?
Mangi bana....you need to start giving me my fair shake, man.
hehehehe kwani sasa mtakubali mbele ya hadhara.. Mbona yule demu superstar wa humu nae anaugomvi na wa sasa mpaka anamwita House girl... hehehehe JF bana