Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Wqkufa na kuzikana
sina visa nampendaga sana my wifi au braza limbwata limekolea unaniona mbaya nowdayz
Au tumwagize mrembo mmoja afanye mamboKabisa aise maana bila hivyo hawapatikani kabisa hawa viumbe
Nakusalimia........umeona hao waongo mmoja akiondoka mwingine anaoa/olewa sasa wanazikana wapi
Aisee upo mkuu nimekumic sana salam zimefika sana TA wanatunyima niniNakusalimia........
Gudumoning tooGoodmorning Wakongwe wote
AhiseeAisee upo mkuu nimekumic sana salam zimefika sana TA wanatunyima nini
Blaza upo...?
Mzee upo nawe...???My Koku ni aje?
Labda turudi enzi za 2009 kwanza...tehe tehe teheee!!We chamaa... hapa ndo mahali muafaka wa kufufua makoloni yetu....[emoji1] [emoji106]
Naandaa udakuBlaza upo...?
[emoji1] [emoji1] ila wakongwe ndiyo litabakia the best.kazi kwelikweli.bado wanaume wa dar forum na waporipori forum....
ha ha hahaMichepuko yake yote naijua kama miss chagga nk